.kuna binti nilimtokea na alikubali kuwa mchumba wangu. Baada ya mwezi mmoja iv nilienda kumtembelea kwao na kumkuta akiwatukana wazaz wake livelive, kuanzia siku hiyo mayon mwangu nilimtoa kabisa kwan hata majirani walinidhibitishia kuwa hiyo ndo tabia yake. Mentally yuko fit na ameua six this year. Nilimwabia ukwel kuwa simhitaji tena lkn analazimisha nifanyeje?
kuna binti nilimtokea na alikubali kuwa mchumba wangu. Baada ya mwezi mmoja iv nilienda kumtembelea kwao na kumkuta akiwatukana wazaz wake livelive, kuanzia siku hiyo mayon mwangu nilimtoa kabisa kwan hata majirani walinidhibitishia kuwa hiyo ndo tabia yake. Mentally yuko fit na ameua six this year. Nilimwabia ukwel kuwa simhitaji tena lkn analazimisha nifanyeje?
Pole sana kaka.
Ila inaonekana ulimtamani tu,kama ungempenda hiyo sio sababu
hasa ukizingatia kuwa hauja chukua hatua yoyote kumsaidia aiache.
Kama unatafuta malaika,ume chemka maana hauta mpata.
Kama ume mpenda muite na mwambie ali kukwaza sana kwa ulicho kiona
na unapenda awe mke wako ila kwa tabia hiyo,rekebisha.
Akishindikana baada ya kuongea nae,na marafiki zake etc. hapo sawa,lakini sio unavo fanya sasa.
n'shamwambia lkn siku nyingine alimkemea hata kakake pia
Duh,then let the wisdon in you make a ride.
gonga kisha tambaa
kuna binti nilimtokea na alikubali kuwa mchumba wangu. Baada ya mwezi mmoja iv nilienda kumtembelea kwao na kumkuta akiwatukana wazaz wake livelive, kuanzia siku hiyo mayon mwangu nilimtoa kabisa kwan hata majirani walinidhibitishia kuwa hiyo ndo tabia yake. Mentally yuko fit na ameua six this year. Nilimwabia ukwel kuwa simhitaji tena lkn analazimisha nifanyeje?
kuna binti nilimtokea na alikubali kuwa mchumba wangu. Baada ya mwezi mmoja iv nilienda kumtembelea kwao na kumkuta akiwatukana wazaz wake livelive, kuanzia siku hiyo mayon mwangu nilimtoa kabisa kwan hata majirani walinidhibitishia kuwa hiyo ndo tabia yake. Mentally yuko fit na ameua six this year. Nilimwabia ukwel kuwa simhitaji tena lkn analazimisha nifanyeje?
gonga kisha tambaa
Angalie isije ikaw kesi baadaye, huwa wanavua Condom ili wapate mimba ya lazima baadaye akwambie muoane ili kutunza mtoto pamoja