Analipwa mshahara kwa jina langu

Analipwa mshahara kwa jina langu

Fungo N.

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
252
Reaction score
43
Nimeajiliwa machi 2013 kama mwalimu (Education Oficer 2) katika halmashauri ya kahama,baada ya kujaza fomu za mkataba na taarifa zangu kwenda utumishi,niliambiwa jina langu lipo kwenye database na linalipwa mshahara,.Taarifa hiz zilinichanganya sana kwani sijawahi hata kufanya tempo mahali popote,sijawah kupoteza vyeti.Baada ya kufuatilia hadi utumishi makaomakuu,niliambiwa niandike barua kisha nisubili,lakin sikupata feedback yoyote,na hadi sasa bado.NAOMBENI MSAADA WA KISHERIA NIFANYE NINI,
 
Ulipiga UPE ama? Well kama jina lako lipo si ufuatilie kufahamu mshahara wako unalipwa kwa njia ipi ili uende ukauchukue?
 
sio kwamba uliuza jina si unajua zamani haya mambo yalifanyika sana
 
Back
Top Bottom