Anamaanisha nini huyu Mwanamke

Pole, ndivyo walivyo ungejitahidi akojoe 😂😂
 
Mpeleke akapime ujauzito wa bila kutegemea alioupata gesti, anajiuliza ukiujua atakuambia nini?
 
Na wewe muache njia panda kwa kumwambia " Yaani nashukuru kuyajua haya mambo ulidhani sitajua. Kisha chukua simu yako jipigie kwenye simu nyingne bila yeye kujua. Kata simu lakini jifanye unaongea na mtu tena wakike, halafu jifanye unamsisitizia kuwa umkute pale pale. Kisha badili nguo yako ondoka lakini kabla hujaondoka simu yako Smartphone weka flight mode kisha weka voice recorder ficha karibu na alipo ondoka nenda ukale ukanywe. Ukirudi chukua earphones sicilia kilichoongelewa ukiwa haupo. Utayajua usiyoyajua.
 
Unataka kufundishwa jinsi ya kuwa MWANAUME? rijali na shabab
 
kuna mawili,aidha uliacha simu siku flani,akaona meseji za "mahaba niue toka kwa mchepuko,au keshampata jamaa anae2umia congo dust,na tatu ingawa nilitaka nikwambie mawili tu!! inawezekana kabisa kampata rafiki au kuna mwanamke jirani anataka kukuvurugeni ndoa yenu kwa kumlisha mkeo matango pori!!!! dawa yake ni ndogo sana;;;do the same thing,she is doing to you!!!,yaani fanya kama anavokufanyia yeye!!!,,,,leo ukirudi ukimsalimia kama hajibu usimuulize,na wala usioneshe kupaniki,fanya mambo yako tartibu,akikufuata kukuuliza k2 na wewe kaa kimya!!,,kesho ukienda town nunua tv mpya weka chumbani,,akiangalia ya chumbani wewe angalia ya sebuleni na akiangalia ya sebuleni wewe ya chumbani!!!!!...alaf anza kuchelewa kurudi home!!,nayeye akijaribu akianza kutoka na kuchelewa usmuulize,,,ukiona imezidi tafuta geto hama!! alaf piga pamba mpaka KOFFI OLOMIDE akuonee wivu!!!!!"USIPENDE wala usiendekeze dharau".........
 
Hapo itakuwa mashosti wake wameshamjaza maneno ya uongo kwamba una mke pembeni ili mkosane na mmoja wao aje kujikoki kwako.
 
Piga makofi hiyo mbwa isikutishe
 
Usikute kishapata mboo mpya hapo mtaani, anakufanyia vituko ili umfukuze aende kwa huyo jamaa mpya anayemdanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…