FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
mwanakijiji nipe no ya huyo dada mkonyezaji au mwambie aje kwangu,tutamalizana in apeacefull mana,it will be a gals tok,count on me.ASAP
Bado hujanionyesha ubaya zaidi ya kurudia rudia neno hayawani.
Kwa mfano ukiniuliza kuna ubaya gani kwa mwanaume wawili kuwa na uhusiano wa kingono nitakujibu kuwa hawa wataishia kutifuana sehemu za haja kubwa. Hii kisayansi ina athari kwa sababu inasababisha hajakubwa kuingia kwenye uume na kuwa kama wanainoculate bacteria kutoka kwenye kinyesi na kuipeleka kwenye uume. Pia inaleta michubuko ambayo inasababisha unwanted bacteria kupenya na kuingia kwenye damu ambapo wataproliferate sehemu wasiyotakiwa. In all muingiliano wa mwanaume na mwanaume au mwanaume kumwingilia mwanamke kinyume na maumbile unaleta infection.
Narudia tena, kuna ubaya gani mwanamke na mwanamke wanapokuwa na mahusiano ya kingono?
pearl nilishituka mwanzoni nilipoona unataka kuwasiliana naye nikasema whaaat..!lkn nimekuelewa..ni kweli hawa wa2 wa hivi wanahitaji m2 awape ushauri nasaha maana huu ni ugonjwa wa kiakili!cn neva pay zoz dirt games swty,nilishafatwa n mtu dizain hiyo wen niko chuo
Ama, naona una matatizo makubwa sana na hiyo ndo shida ya kizazi chenu watoto wa kisasa yaani ukiambiwa kitendo hicho ni uhayawani unataka kujua why! Kama huoni ubaya basi jaribu au kama unafanyaga hivyo endelea maana nimeshakwambia huo ni uhayawani maaana hata Hayawani wenyewe wa porini (Wanyama) ambao hawana akili hawawezi kufanya upumbavu huo sasa wewe mwenye akili unaona kuwa hilo ni sawasawa!.........
...... Vitu vingine havihitaji akili ya ziada, wewe kwa akili yako uhusiano wa kingono unafanyikaje na watu wenye jinsia moja? Uliona wapi? Wanaofanya hivyo ni zaidi ya Hayawani wote. Sasa kama wewe ni mmoja wao, I am sory, so sorry!
mwanakijiji nipe no ya huyo dada mkonyezaji au mwambie aje kwangu,tutamalizana in apeacefull mana,it will be a gals tok,count on me.ASAP
nina wasiwasi na huyu dada na hilo ombi lake. asipewe hizo contacts. msome hapa kwenye post ya 3
Kwanza karibu tena mzee mwanakijiji yule. Umeona mbali kurudi. Pili nimeona umewashukuru watu wawili tata; ama na pili. Napowasoma wananipa shaka. Mkuu unawashukuru kwa kuwa na mawazo homo? Jisafishe na watu hawa au tuambie wametoa ushauri gani uliokukuna
Kwanza karibu tena mzee mwanakijiji yule. Umeona mbali kurudi. Pili nimeona umewashukuru watu wawili tata; ama na pili. Napowasoma wananipa shaka. Mkuu unawashukuru kwa kuwa na mawazo homo? Jisafishe na watu hawa au tuambie wametoa ushauri gani uliokukuna
King,cjui kama unajua unachoongea!jina langu ni pearl c pili!
watu kama hawa kwenye jamii wapo tena wengi sana,ni marafiki zetu,jamaa zetu ,wadogo zetu,ndugu zetu,wapenzi wetu.Binasfi nilitaka nikae na huyu dada na kuongea nae nijue tatizo lake ni nn hasa!usagaji haujashamiri sana kama ushoga!kwaiyo najua bado kuna njia ya kuweza kutokokomeza hii,nimeshakutana na wadada kama hawa chuo wengi tu,lkn ukiongea nae anajutia hicho kitendo na yuko tayari kuacha,wengi wao(niliiongea nao)wameamua kuwa hivyo maana wamechukia nafsi zao na wanaona hawawezi kupendwa wala kupenda tena,wengi wao wamekuwa hivyo coz wamedanganywa na wapenzi wao(wanaume)na hivyo wengi wamejidharau na kuona bora wafanye hivyo wakiamini kuwa ukiwa na mpenzi wa jinsia moja hakuna matatizo yyte,but wamekuja kugungua matatizo kwa mwanadam ni kitu cha kawaida sana,problems are to be solved and questions deserve answers,hope tuko pamoja.
i got u, maam (pearl aka lulu). ...... ila uwakemee na hao wanaosema hawaoni tatizo kwa wanawake kusagana. mmoja wapo ni ama