Anampenda mume watu na hawezi kumuacha

aminata lepo umekomaje ...
nishakuambia nitakuwashia mishumaa na inavowaka taratiiiiiiiibu nakusuta mpata iishe mana umekaa kiugomvi tu hapa mwe...........................................mwenye meno hatumiii nguvu babuuuuuuuuuuuuuuuu
 
aminata au ni weweeeee? bwana mwambie huyo ifike mahali ajitambue vipigo vianza no more mapenzi ajitulize amlee mtoto huyo gume2 kama ni wake atarud and atakuwa fyn mapenz yakubeg yanakaraha tell her
 
angoje mpk afe!!kama hataki kumwacha sasa ufanyaje?
 
aminata au ni weweeeee? bwana mwambie huyo ifike mahali ajitambue vipigo vianza no more mapenzi ajitulize amlee mtoto huyo gume2 kama ni wake atarud and atakuwa fyn mapenz yakubeg yanakaraha tell her
sio mm mpz............................yy anasema hawez kumpenda mwingione koz mapenz yake yote yako huko kwa msela mwenye mke
hata akijaribu kumuacha ni cku mbili ashamrudia yani kama lamuja denvida vile
 
we koma
 

Afadhali huyo shosti wako anampenda mme mmoja tu wa mtu!
Yupo mdada mmoja alikuwa ananipenda sana sikujua kumbe waume za watu tulikuwa kama rundo hivi na wote tunapendwa sana!
 
sio mm mpz............................yy anasema hawez kumpenda mwingione koz mapenz yake yote yako huko kwa msela mwenye mke
hata akijaribu kumuacha ni cku mbili ashamrudia yani kama lamuja denvida vile
noted!! huyo rafiki yako hajui dhambi ya kumpenda mme wa mtu
 
Afadhali huyo shosti wako anampenda mme mmoja tu wa mtu!
Yupo mdada mmoja alikuwa ananipenda sana sikujua kumbe waume za watu tulikuwa kama rundo hivi na wote tunapendwa sana!
kwaiyo unataka kuniambia bora huyu aendelee kumpenda tu huyu mmoja sio..............point taken
 
aseme ukweli kama ni yeye ...watu tupo single huku
ww si una wako yule anayeumia au sio ww.....................nani anataka kufa huko mwenzangu anaumwa wiki mbili ndio nije mm si nitalazwa kabisa mwe!
mi bamia zaizi yangu babuuuuuu
 
ww si una wako yule anayeumia au sio ww.....................nani anataka kufa huko mwenzangu anaumwa wiki mbili ndio nije mm si nitalazwa kabisa mwe!
mi bamia zaizi yangu babuuuuuu
hahhah..wewe aminata una vituko kweli ..hakuan mpenda vibamia duniani ..wewe jana si ulikuwa unatafuta mtu mwenye busha? au sio wewe
 
hahhah..wewe aminata una vituko kweli ..hakuan mpenda vibamia duniani ..wewe jana si ulikuwa unatafuta mtu mwenye busha? au sio wewe
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa unalo tuanze kudate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…