Anampenda sana ndiyo maana hatamgusa….

hahaha.... haiwezakane wakarudia man.. bora waendelee kuwa marafiki tu... hakuna kitu kibaya kama mume / mke wa mtu! hata kama ameoa/ameolewa na mzungu!...
 
hahaha.... haiwezakane wakarudia man.. bora waendelee kuwa marafiki tu... hakuna kitu kibaya kama mume / mke wa mtu! hata kama ameoa/ameolewa na mzungu!...

Hata mimi niliona hivyo hivyo....................................
 
Umemshauri vema, si vizuri sasa wakayafanya hayo kwa kisingizio cha mapungufu ya wenzi wao wa ndoa .Na heshima itakuwepo wakiendelea kuwa marafiki wa kawaida.
 
Umemshauri vema, si vizuri sasa wakayafanya hayo kwa kisingizio cha mapungufu ya wenzi wao wa ndoa .Na heshima itakuwepo wakiendelea kuwa marafiki wa kawaida.

mawazo haya yamefurika kwa busara tupu..................
 
Bado sijaona kitu hapa!!!!
 
Bado sijaona kitu hapa!!!!

pole sana ukiwa kipofu utaambiwa ona lakini utajigamba mbona ninaona wakati upo kizani.................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…