ANAMTAHiRI??

boflo hivi vitu unavitoa wapi?:brick:
 
Khaa! Hii kali. Nimecheka sana kwa kweli. Sijui kama jamaa mwenye 'bunduki' anatahiriwa! Si ajabu ni mama anakagua mali ya mumewe.
 
Hahhaaha! Hiii kali aisee nafikiri mama anakagua mali zake kujua kama zimetoka kutumika huko jamaa alikokuwa. hahah!
 
mimi nafiki huyu nyani anataka kujuwa kwa nini hii kitu inanoga saaaaaaaaaaana
 
BOFLO HAPO NDIPO UNAPONITOA NISHAI KABISA- Sijui unapata wapi vitu vya ajabu ajabu namna hiyo
 
hahahaaa! Bofloooo.........unapendaeeee!!!
 
Inaitwa abiria chunga mzigo wako...ukaguzi wa ndani huo!!!
 
"we baba ndubwi, hii kitu mbona leo inamafutamafuta?!, utanieleza vizuri!"
 
alikataa kuvaa zana.mamaa anamvalisha inabidi awe mpole atakosa uro!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
umu JF uwa nacheka sana,kama leo!!
mh
 
Ungekuwa unaniona saa hizi sijui ungefanyaje maana mbavu, maini,koroeo na kongosho vimevunja ushirikiano.:target:
 
mh....boflo! yawekana anamwelekeza matumizi ya hiyo kitu kwa vitendo ..

.......au pia yaweza kuwa mashine ishanock (jogoo hapandi mtungi) na mama anathibitisha kwa "ku bost" kama ni kweli mashine imekufa!!
 
Ngaliba anaondoa Kibalaghashia. Akitoka hapo anakuwa na Abdallah bin Kichwa wazi. Au labda ni Hand job.

Siku jamaa alinyimwa, akaamua kufanya SELF SERVICE.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…