Mmh hizi dawa nyingine jamani..si mlisikia ya yule MC wa moshi aliyefia kifuani kwa mke wa mtu baada ya kukamia gemu akapiga konyagi za kutosha ili mtarimbo usilale dorooo.
Nina demu wangu niko nae kwa mwaka wa pili sasa. siku za karibuni amenijia na suala jipya kiasi ananichanganya. Ni mara ya tatu sasa kila ninapotaka kummega anadai hajisikii hamu, mwanzo nilidhani ni uchovu wa kazi zake, lakini baada ya kumsumbua sana akadai kuwa yeye hujichua kiasi ambacho anapokuwa na mimi hamu ya kufanya mapenzi huwa inatoweka. Lakini demu nampenda sana hata anachonieleza naona kama ananivunga huenda amepata jamaa lingine. Simuelewi kabisa....
Nina demu wangu niko nae kwa mwaka wa pili sasa. siku za karibuni amenijia na suala jipya kiasi ananichanganya. Ni mara ya tatu sasa kila ninapotaka kummega anadai hajisikii hamu, mwanzo nilidhani ni uchovu wa kazi zake, lakini baada ya kumsumbua sana akadai kuwa yeye hujichua kiasi ambacho anapokuwa na mimi hamu ya kufanya mapenzi huwa inatoweka. Lakini demu nampenda sana hata anachonieleza naona kama ananivunga huenda amepata jamaa lingine. Simuelewi kabisa....
Nina demu wangu niko nae kwa mwaka wa pili sasa. siku za karibuni amenijia na suala jipya kiasi ananichanganya. Ni mara ya tatu sasa kila ninapotaka kummega anadai hajisikii hamu, mwanzo nilidhani ni uchovu wa kazi zake, lakini baada ya kumsumbua sana akadai kuwa yeye hujichua kiasi ambacho anapokuwa na mimi hamu ya kufanya mapenzi huwa inatoweka. Lakini demu nampenda sana hata anachonieleza naona kama ananivunga huenda amepata jamaa lingine. Simuelewi kabisa....
Masturbation imeshamwathiri kisaikolojia au kapata mwanaume aliyeahidi kumuoa kwa hiyo anatafuta njia nzuri ya kukuacha bila ugomvi. Usipende sana kusema una DEMU WAKO kama angekuwa MKE wa NDOA ungethubutu kusema MKE WAKO. Huyo Demu ni wa wote kwasababu kawaida ambaye hana ndoa ni wa kila mtu kwa hiyo usishangae kubadilikiwa wakati wowote na huna pa kumshitaki kisheria. NAKUSHAURI MUOE HATA WEZA KUKUNYIMA KIHIVYO. Nampa hongera Demu kwa kukataa kumegwa ovyo wa kabla ya ndoa azidi hivyo hivyo mpaka kieleweke.
TUACHE UMALAYA.
Naomba nitafautiane na nyinyi wana JF kidogo. Masturbation yaiwezi kuathiri mtu kiasi cha kuhitaji counseling. m speaking from experience. I started masturbating in 1993 and stopped in 2008. 16years of a dirty and addictive act lakini niliacha. Mwenyewe.
Pili. Huyo dada anakuzinguatu ndugu yangu. Read between lines. HAKUTAKI! No matter how much it hurts kukubali lakini thats the fact. Amekutafutia sababu. Move on brother. Haya ndie maisha yenyewe.
Mpende akupendae. Asiejali hisia zako, temana nae.
Good luck.
hee na wewe ilikuwaje mpaka ukawa unafanya hizo masitabesheni ? 😉
valuu ni pombe kali ambayo kama vile konyagi au viroba humsaidia mwanaume aliyeinywa kupiga game bila kuchemsha mapema.
When it comes to hard liquor, Grants and Jack Daniels are my favourites, they never let me down nikiwa na gemu (hasa ya ugenini 🙂)....Ila jamani Tusker siyo bia kabisa kama una gemu.....inaweza kukuadhiri...I am talking from experience!🙂