Ananichukia kisa kuniona na mwanamke mwingine

Safiii, unakuta mtu kajambo kadogo kakutatua yeye na ubongo wake wa mbele tu. Ila wanakuja kutujazia nyuzi huku.
Haipendezi kwanza mwanaume kuomba omba maushauri 🤣
Mm kila nkiwa na jambo naloona nlifungulie thread hua nafanya mambo matatu nahakikisha nimeshiba, nahakikisha Sina ny_g_ na najaribu kuperuzi kuhus hlo jambo😁mpaka Leo Sina thread
 
Safiii, unakuta mtu kajambo kadogo kakutatua yeye na ubongo wake wa mbele tu. Ila wanakuja kutujazia nyuzi huku.
Haipendezi kwanza mwanaume kuomba omba maushauri 🤣
Ndo hvo wengi ni vichalii vidogo...sasa mfano mtu analeta thread anaomba ushauri ana maumbile madogo🤣🤣
 
Umefanya vizuri sana braza, aya pita huku👉
 
Duuuuuuh watu wa facebook wanazidi kuongezeka jukwaani, shida tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…