Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Wauwaji hawatoki nje ya TanzaniaIvi waliwezaje kumuuwa mbona ni siamini kama ni watu tunaoishi nao
Aitwe kwenye ile Kamati ya hadhi na Maadili ili athibitishe hilo.
Sio Mimi labda wengineKwamba watanzania wote akili zetu zinakengeushwa na Ushirikina wakati wa kupiga kura?
😂😂Sio Mimi labda wengine
The bittest truth
Mkoa gani ambao hauna ushirika hapa bongo?Ina sikitisha sana, ndugu zetu Wahaya wa Kamachumu na nyie kumbe mna imani za namna hiyo. Kwamba utoe uhai wa mtoto Albino asiye na hatia ili ufanikiwe.
Kanda ya ziwa ndio yanashimiri , sehemu za waislamu hakuna huo ujinga hata wauaji wakikamatwa ni watu wa mikao kama Mbeya , Arusha ,Marana hii hutokea wakati wa utawala wa waislamu wa tanzagiza tu, awamu ya 4 mpaka UN waliingilia kati mauaji ya albino kuna nchi hata zilitoa hifadhi kuwamahisha watoto albino, awamu ya 5 mauji yaliisha ghafla kama mtu alizima switch ya umeme na sasa inayoitwa awamu ya 6 mauaji yameanza tena, wakati wa Mkapa sikiwahi kusikia mauaji ya albino hivyo naweza kuhitimisha kwamba kuna uhusiano ba waislamu wa tanzagiza bzw. kagera waislamu ni wengi…
Ending albino persecution in Africa
When Moses Swaray stepped onstage to sing “Amazing Grace” in the auditorium of the Unity Conference Centre in Monrovia, Liberia, the audience, including President Ellen Johnson Sirleaf, stood up to applaud; some wiped away tears. Mr. Swaray, who is living with albinism, beat 11 other finalists...www.un.org
Kanda ya ziwa ndio yanashimiri , sehemu za waislamu hakuna huo ujinga hata wauaji wakikamatwa ni watu wa mikao kama Mbeya , Arusha ,Mara
Mgufuli alikuwa muislamu? Mkapa alikuwa muislamu ? kule kibiti alikuwa muislamu?lkn kwa nini mauaji hutokea tu kwenye utawala wa wanaojiita waislamu wa tanzagiza?
Mgufuli alikuwa muislamu? Mkapa alikuwa muislamu ? kule kibiti alikuwa muislamu?