Habari zenu wanajamvi
Nilifika hapa Dar mwaka jana kwa kazi maalum kwa muda kwenye kampuni yetu
Katika harakati zangu za kijamii nilikutana na dada mmoja ambaye ametokea kunipenda sana,na kuamua kuanzisha mahusiano ya kimapenzi,na mkataba wetu ulikuwa ni mapenzi tu,bahati mbaya huyu dada ni mke wa mtu,aliolewa ila tangu aolewe mme wake aliondoka kwenda mkoani kwao kigoma miaka 2 hajarudi kumuona na hawaasiliani na bahati mbaya zaidi huyu dada ajui kwao mwanaume huko kigoma
Tangu juzi nilipomwambia naondoka Dar kurudi kazini kwangu mkoani,dada ananililia sana na kuomba niondoke nae ila ana watoto wawili,mmoja alizaa akiwa shule mwingine alizaa na mwanaume aliyemuoa
Namuonea huruma ,natamani niondoke nae ila moyo unasita kwa sababu ni mke wa mtu maana alilipiwa mahali kwa mjomba kozi wazazi wake walishatangulia
Naombeni ushauri wanajamvi
Nilifika hapa Dar mwaka jana kwa kazi maalum kwa muda kwenye kampuni yetu
Katika harakati zangu za kijamii nilikutana na dada mmoja ambaye ametokea kunipenda sana,na kuamua kuanzisha mahusiano ya kimapenzi,na mkataba wetu ulikuwa ni mapenzi tu,bahati mbaya huyu dada ni mke wa mtu,aliolewa ila tangu aolewe mme wake aliondoka kwenda mkoani kwao kigoma miaka 2 hajarudi kumuona na hawaasiliani na bahati mbaya zaidi huyu dada ajui kwao mwanaume huko kigoma
Tangu juzi nilipomwambia naondoka Dar kurudi kazini kwangu mkoani,dada ananililia sana na kuomba niondoke nae ila ana watoto wawili,mmoja alizaa akiwa shule mwingine alizaa na mwanaume aliyemuoa
Namuonea huruma ,natamani niondoke nae ila moyo unasita kwa sababu ni mke wa mtu maana alilipiwa mahali kwa mjomba kozi wazazi wake walishatangulia
Naombeni ushauri wanajamvi