Ananionesha mahaba mazito ila kila tukikutana amekuwa mtu wa vijisababu

Ananionesha mahaba mazito ila kila tukikutana amekuwa mtu wa vijisababu

Ulishajijibu mkuu....alikuwa na genye it's true, ila kampata mtu KAMUWEKA sawasawa, hivyo huna maana Tena kwake, temana nae TU kwa usalama wa nafsi yako, utakuja kunishukuru ohoooooo!!!
 
Siku aliyokuhitaji ambayo ulitambua kabisa nini kinamsumbua YOU FAILED HER. Kilichokuwa kinamsumbua kimeshawekwa sawa na aliyetambua na kuchukua hatua, UNAJIPELEKA PELEKA. Once a chance is gone call it a bygone bro😃😃
Angalia mambo yako mengine
 
Back
Top Bottom