Ananipenda lakini ananinyima unyumba

mark 47

Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
17
Reaction score
15
Kuna mdada mmoja ananipenda na mimi na mpenda lakini ni meomba gam
 
Kama anakunyima unyumba wake basi mpe wako uone kama atakataa pia.
 
Unajifariji tuu... huyo hakupendi ht chembe. angekuwa anakupnda angekupa. Pia yawezekana huna mvuto una sura mbaya km ya Wasira,a au Mizengo Pind
 
Mh,namshauri aendelee kubana hivyo hivyo,kama unampenda kwa dhati,muoe uone kama hatakupa.na nikwa nn unataka kuzini nae kwanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…