Jamani wadau nisaidieni, kuna mtu alikutana na mdogo wangu akampenda sana, akamfwatilia bila mafanikio, then akakutana na mimi akachanganyikiwa zaidi na mimi nikasema no sasa karudi kwa mdogowangu tena yani hizi air time za bukukumikumi nianatuma kama hana mawazo, akitolewa nduki anarudi kwangu tena anaanza upya na hajui kama mi na mdogo wangu tunajua anchofanya je huyu mtu tumfanyeje? tuendelee kutumia vijisenti hivyo au tu mtoe nishai? nisaidieni.
Jamani wadau nisaidieni, kuna mtu alikutana na mdogo wangu akampenda sana, akamfwatilia bila mafanikio, then akakutana na mimi akachanganyikiwa zaidi na mimi nikasema no sasa karudi kwa mdogowangu tena yani hizi air time za bukukumikumi nianatuma kama hana mawazo, akitolewa nduki anarudi kwangu tena anaanza upya na hajui kama mi na mdogo wangu tunajua anchofanya je huyu mtu tumfanyeje? tuendelee kutumia vijisenti hivyo au tu mtoe nishai? nisaidieni.
inaoneka mko kibiashara zaidi, lkn siku akiwala wote ndo akili zitawazinduka.Jamani wadau nisaidieni, kuna mtu alikutana na mdogo wangu akampenda sana, akamfwatilia bila mafanikio, then akakutana na mimi akachanganyikiwa zaidi na mimi nikasema no sasa karudi kwa mdogowangu tena yani hizi air time za bukukumikumi nianatuma kama hana mawazo, akitolewa nduki anarudi kwangu tena anaanza upya na hajui kama mi na mdogo wangu tunajua anchofanya je huyu mtu tumfanyeje? tuendelee kutumia vijisenti hivyo au tu mtoe nishai? nisaidieni.
Yaelekea kina mamushka mna mvuto kweli. Mko wapi nami nije kuwatongoza?
na wewe kama una mvuto weka photo tuone....hivi eeeeh!!
na wewe kama una mvuto weka photo tuone....
Nimejikuta narudi tena kwenye hii thread japo nilishachangia....
ni vitu kama hivi vinafanya wanawake wadharaulike.... kupenda vitu badala ya kujali utu...
Kweli mabinti ambao mnadhani mna mvuto hamuwezi mkasamehe buku kumi za kupewa mkaendelea na maisha yenu?
Siku mtakapopambana uso kwa uso wote watatu - sijui itakuwaje?
Nimejikuta narudi tena kwenye hii thread japo nilishachangia....
ni vitu kama hivi vinafanya wanawake wadharaulike.... kupenda vitu badala ya kujali utu...
Kweli mabinti ambao mnadhani mna mvuto hamuwezi mkasamehe buku kumi za kupewa mkaendelea na maisha yenu?
Siku mtakapopambana uso kwa uso wote watatu - sijui itakuwaje?
Kaizer.... huyu Mamushka sijui ni minor under the law na ndio maana hajawa na "capacity" kujua zuri na baya na afanye nini katika situation kama hii..kama ni mtoto basi tunamshauri yeye na mdogo wake wakamshtaki kwa wazazi wao au polisi ili fataki huyo ashughulikiwe na vyombo vya sheria.WoS, hao wanataka hizo vocha za buku kumi (si kidogo hiyo na hapo hajatuambia offer nyingine isije ikawa na kodi ya nyumba analipa)
hapa huyu Mamushka anatafuta tumhalalishie anachofanya....actually she know that she has to STOP that game kama yuko bado sober, lakini kama ndo mambo ya siku hizi....hapo aendelee tu lakini awe tayari kwa threesome at some point.
Tena Baradhuri! Fisadi Kiwembe! anataka kuwalamba wote! Mwkeeni tego Mtembezeni 'utupu' akome! Wasiliana na waaandishi wa magazeti ya udaku! Watakusaidia tena nao watauza magazeti yao!huyo kwa jina la kitaalamu anaitwa 'bazazi'