Ananipenda, ninampenda...ila kuna mambo tunatofautiana....ushauri tafadhali.

Ninashukuru sana kwa wale ambao wamenipa ushauri hapa, kwa wale walioponda vilevile nashukuru kwa sababu ndani yake nimeona point za msingi tuu. ASANTENI SANA, na nitaufanyia kazi ushauri wenu pia nikiongezea na kile ninachofikiri huku nikiamini kuwa mawazo yenu yatanisaidia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…