Ananitia hasira

mnh..usipoteze muda,kwa jitu usilolipenda....
unajinyima chances zako za kuwa na mtu wako ambaye yuko perfect(kama yupo)...

mie naamini hakuna mtu 100 perfect,mwingine atakuja na vitabia vingine..usivyovipenda...sa sijui,utabadilisha wangapi?
 
Kaizer, Im not perfect
not at all, ndo maana nimesema sorry kama ntaudhi watu kwa kuudhika kwangu, pili nikajihisi natenda dhambi labda kwa kuchukizwa na hayo, tatu sina mpango wa kua mpenzi wake ningekua na mpango nae ningejua jinsi ya kumrekebisha kwakua ningekua na sauti kwake, lakini kwakua ni just a friend ndo maana inaniuma na kumwambia nashindwa.
 
Hapana mi sijaanza kumpenda bwana.
 
mnh..usipoteze muda,kwa jitu usilolipenda....
unajinyima chances zako za kuwa na mtu wako ambaye yuko perfect(kama yupo)...

mie naamini hakuna mtu 100 perfect,mwingine atakuja na vitabia vingine..usivyovipenda...sa sijui,utabadilisha wangapi?

mmmh, mbona unakuwa mkali hivyo Fab, au na wewe ndo ushatiwa hasira hivyo?
 
Uwiii natapika, mh siaskia neno tongotongo siku nyingi, mh my dear ikitokea nikaja kumpenda ntawaoneeni aibu kama mnaniona, lakini siwezi kumpenda aah anavitabia haa haaa.
 

Hapo ndo nisipowaamini kabisa nyie viumbe, mara nyingi mkisema NO, basi ndo ujue YES hiyo!!!!!!!!
 
Pole..... Kaazi kweli... Ongea nae kwa utaratibu! atakuelewa. Ila kumbuka watu wa namna hiyo, mwishowe anakuwa ndio mumeo.....
Duh mipango ya mungu hiyo sasa mbona ntakoma.
 
Hapo kwenye RED, najaribu kusoma between herufi, nashindwa kupata connection!hata hivyo, naona kama kuna issue za ujana sana kama sio utoto mwingi kimtindo!Nawasilisha

Yeah ina sound kama utoto kidogo kama hujailewa vizuri, or wewe ni mzee sana labda.
 
Hahaaa Mfamaji unanichekesha hee hiyo ya kuvuta nyama kama manati ndo inachekesha, kwa hiyo ukiwa karibu nae hata manundu anaweza kukupa ya uso. Mh huyo hachelewi kukupa ngumi ya mdomo.
Ni rafiki ntamwambia nikishindwa ntapotezea.
 
Mhhhhh pole best kaa nae kwa ukaribu sana uweze kumbadili

Mtu a,badili vipi wakati ashasema hampendi,kiufupi hao watu wapo sana huyo dada ana pepo ambalo alimpendi huyo jamaa lakini yeye binafsi anampenda likimtoka atampenda mpaka watu wenyewe watashangaa.
 
Simchukii ila nachuki vitabia tu, kwa sababu ukiacha vitabia hivyo hana shida. Thank you dear will try.
 
Mamushka kama huna mpango wa kuwa mpenzi wake ni kwa nini sasa unaona aibu kumwambia kuhusu izo tabia zake??

N.B mapenzi hayana formula wala maamuzi labda utasema ngoja nimpende huyu sasa awe mylov wangu, Mamushka huyo jamaa leo anaekukasirisha anaweza siku moja akawa ndie anaekupa raha ktk ulimwengu huu
 
Mtu a,badili vipi wakati ashasema hampendi,kiufupi hao watu wapo sana huyo dada ana pepo ambalo alimpendi huyo jamaa lakini yeye binafsi anampenda likimtoka atampenda mpaka watu wenyewe watashangaa.
Ushindwe kwa jina la mungu mi sina pepo, na wala si mchukii na wala sitaki kua nae, sipendi hayo mambo tu.
 
Duh mipango ya mungu hiyo sasa mbona ntakoma.

Iko siku wewe una pepo ambalo halimpendi huyo bwana,lakini wewe binafsi unampenda....likitoka ilo pepo hutakumbuka kama ulikuwa humpendi na mara zote watu wa namna hiyo ndo wapendanao..
 
Mwambie ukweli au tumia lugha kama Nanren alivyosema hapo juu kufikisha ujumbe vinginevyo atazidi kukukera..pole
 
Sio yeye tu hata angekua mschana pia ningeogopa kumwambia pia, swala la kunipa raha sijui labda kama atakua alishaacha kusema dari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…