Anaomba ushauri kuhusu chuo cha Uandishi wa Habari

Foxhunters

Senior Member
Joined
Nov 25, 2019
Posts
160
Reaction score
108
Wakuu heshima yenu,

Kuna dogo ana ndoto ya kuwa mwandishi wa habari na muaandaji wa vipindi vya TV na redio.

Anaomba kuelekezwa chuo kizuri cha taaluma hiyo kwa ngazi ya diploma kiwe cha serikali au cha binafsi ili aweze kutimiza ndoto yake.

Natanguliza shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…