Anaomba Ushauri (very interesting)

kwani lazima moshi wa sigara? na ampulize kwa pumzi zake mwenyewe natumai raha itakuwa pale pale
Nakusupport Gaijin. Huenda mbunye inakuwa imechemka na kale kaupepo kanaleta relief fulani.
 
Wanakemia watueleze huo moshi wenye nicotin kwa wingi ukichanganyika na gesi inayotoka sehemu iliyopulizwa kunatokea nini. Wadau wa muhimbili tusaidieni jamani. inawezekana ni kitu kizuri:A S 100:
 
Jamani siku zote tunaambiwa tuwe creative kwenye 6*6, hiyo nayo ni creativity la msingi hapa ni kujua side effects za zoezi hili kama linazidi zile za anayevuta sigara kwa mdomo, kwani sote tunajua kuwa uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya lakini imeruhusiwa kwa sababu pamoja na nyingine mvutaji hupata starehe, na lengo la mapenzi ni kustareheshana. Nionavyo mimi kama dada huyo anapata raha basi apewe raha tusiwe too rigid to accept new discoveries.
 
Mhhhh, hiyo hapana, mshauri awe anammwagia Ka-wine au Ka-bia kidogo nadhani atapata stim poowaaa!!
 
hata kama ni u-creativity kwenye 6 x 6, hiyo kiboko...........
 
Ampulizie na ile sehemu ya pili halafu atiletee data alijisikiaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…