Anaomba ushauri wako!!!!

Anaomba ushauri wako!!!!

Jilanga

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2011
Posts
255
Reaction score
40
Mnamo April 2008 Rafiki yangu {Patriot} amekuwa akichat na binti anayejitambulisha kwa jina la Julieth! Wakati huo Patriot Akiwa 4m five Nsumba Sec Mwanza!

Hawajawahi kuonana face to face kwani Rafik yangu yupo Rock-city na bint yuko Ar! Bint mwanzo aljidai kukosea no lakini kadri muda ulivyozidi kwenda alpendezwa na busara za Bwana Patriot kwani alikuwa mkweli na Mcha Mungu na hatimaye akataka wawe wapenzi! Patriot hakuridhia ombi la Julieth na kumtaka wafahamiane zaidi!

Julieth alitoa wasifu wake kuwa ni Mcha Mungu, Mkweli, Hajui tendo la ndoa,{Bikra} hajui harufu ya Pombe wakati huo alikuwa kidato cha nne '09 na kwamba ni get kali kupita maelezo! Japo saivi yupo home baada ya kumaliza kidato cha sita.

Patriot anahofu Juu ya Julieth kuwa huenda asiwe binadamu wa kawaida kwan anajua vitu vingi sana kuhusu Patriot na maisha kwa ujumla na wakati mwingi Pat akimzungumzi tu, either anamtext or anapigiwa Cm!

Julieth amemwomba Patriot waonane Pasaka Jijin Ar! Gharama za usafiri Malaza, chakula Bint atagharamia!

Je unamshauri nini Kijana Patriot juu ya jambo hli? Je aende au apotezee? Je Kunauwezekano wakaona?
 
Kwahiyo mtu akijua maisha sio binadamu?Anayojua kuhusu mwanaume si kamwambia mwenyewe?
 
kuna njia na namna nyingi watu wanakutana, hatimaye kufahamiana na pia hata kuoana.

Toka 2008 wanasiliana, mi nashauri kama anataka aingie hatua nyingine ya uhusiano ni vyema wakakutana. Kama ni mpango wa Mungu, mambo yatakuwa mazuri tu

Kama hawezi ni bora na uhusiano aupotezee na aanglie kwingine..
 
Julieth amemwomba Patriot waonane Pasaka Jijin Ar! Gharama za usafiri Malaza, chakula Bint atagharamia!

Je unamshauri nini Kijana Patriot juu ya jambo hli? Je aende au apotezee? Je Kunauwezekano wakaona?[/QUOTE]

Badala ya kumshauri Patriot, ninakushauri wewe kwa inawezekana Patriot ukawa wewe, na ikiwa siwe, mpelekee Patriot ujumbe huu:
1. Majini na vibwengo haviingii kwenye mtandao. Julieth ni mtu.
2. Hapo nyekundu, ikiwa ataamua kwenda AR, achukuwe nauli na gharama nyengine za kujikimu za kutosha, just in case.
 
obviously, bint anamfahamu fika huyo jamaa. La msingi hapo, kama amesema atamgharamia nauli, chakula na malazi; ni vyema nauli ya kurudia ampatie kabisa ili atakapokutana naye, kwa asilimia kubwa kama ni mtu anayemfahamu na hakumdhania, aweze kurudi Mwanza siku hiyo hiyo if possible!!!!
 
Aende tu wakaonane sio ila achukue hela za akiba ili kama akitoswa aweze kujisaidia. Mimi mwenyewe mke wangu nilimpata kupitia mtandao
 
Julieth amemwomba Patriot waonane Pasaka Jijin Ar! Gharama za usafiri Malaza, chakula Bint atagharamia!

Je unamshauri nini Kijana Patriot juu ya jambo hli? Je aende au apotezee? Je Kunauwezekano wakaona?

Badala ya kumshauri Patriot, ninakushauri wewe kwa inawezekana Patriot ukawa wewe, na ikiwa siwe, mpelekee Patriot ujumbe huu:
1. Majini na vibwengo haviingii kwenye mtandao. Julieth ni mtu.
2. Hapo nyekundu, ikiwa ataamua kwenda AR, achukuwe nauli na gharama nyengine za kujikimu za kutosha, just in case.[/QUOTE]

Ahsante kwa ushauri wako yakinifu. Mungu akuzidishie hekima!
 
Asali sana kabla ya kwenda kukutana nae isije ikawa si mipango ya mungu
 
mwambie ahakikishe anakuli tundi.
 
Mh! Kama jamaa ameshikwa na wasiwasi, amwambie Binti aende Mwanza, as long as ameahidi kumgharamia jamaa nauli pamoja na malazi, basi hizo gharama azitumie yeye kujigharamia atakaokuwa Mwanza..
 
kuna pande mbili za shilingi

ya weza kuwa ni muongo
au kweli ni mcha Mungu and so on..

kwani nini kama jaamaa yuko single achukue chance zake..
kwa mie naoana aende ajionee mwenyewe...
si laziama amuoe anaweza kwenda na asifurahishwe na kitu kimoja au viwili
akachapa mwendo ...

Life is all about taking opportunities/ chances
and you will never know until you try it..

my be will turn out to be the best thing in your life..
so im saying GO FOR HER.......
mmmhhhhh
 
Aende tu, mwanaume hatakiwi kuwa muoga muoga.
Ataweza kupigana vita kweli huyo..
 
huenda ni binadamu kwani wasichana wa arusha ni wajanja kimoma pia abebe pesa za kijikimu asije schwa solemba
 
Tatizo lako ni kUjiamini, Nenda kajionee kwa macho yako, Kwa jinsi anavyo wasiliana na wewe isikupe shida it seems kuna chemistry hapo. Ila usiache ushauri wa Chris mambo hapo juu. Hakikisha unamshiko wa kutosha kwa nauli na mahitaji mengine ili mambo yakiwa ndivyo sivyo usianze kutuomba nauli ya kurudia kwenu. halafu kama mtoto wa kiume unatakiwa umiliki jukwaa usiende kule ukaendeshwa kwa rimote. NENDA NA MSHIKO WA KUTOSHA.
 
Back
Top Bottom