The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 306
nimikoswakoswa kulishwa mbwa choma na wahehe..nimirudi nduki jiji hili la karaha...karibu chozi la simba(konyagi mwitu)🙂rud banaaa kwan uko bado iringa?
Huyu utakuwa ni wewe wala sio rafiki yako, fullstop!
Kama ni kweli dawa yake nusu lita ya bleach achanganye na ndimu na vijiko 5 vya chumvi pamoja na magadi. Asisahau shabu na ile 'blue' ya kufulia nguo nyeupe. Atumie kwa siku 3 kutwa mara 6 atashangaa mabadiliko na kipindi cha dose anaweza kumvisha mama pampers atoboe katundu kadogo kwa nyuma kwa ajili ya staili ya mbuzi kagoma
- yaonekana ni mkeo huyu, na wakati mnaanza uchumba hiyo harufu ya beberu haikuwepo uione leo au vya wengine vimekuzuzua mjomba.
Huyu utakuwa ni wewe wala sio rafiki yako, fullstop!
Kama ni kweli dawa yake nusu lita ya bleach achanganye na ndimu na vijiko 5 vya chumvi pamoja na magadi. Asisahau shabu na ile 'blue' ya kufulia nguo nyeupe. Atumie kwa siku 3 kutwa mara 6 atashangaa mabadiliko na kipindi cha dose anaweza kumvisha mama pampers atoboe katundu kadogo kwa nyuma kwa ajili ya staili ya mbuzi kagoma
Duh! Hii kaliHuyu utakuwa ni wewe wala sio rafiki yako, fullstop!
Kama ni kweli dawa yake nusu lita ya bleach achanganye na ndimu na vijiko 5 vya chumvi pamoja na magadi. Asisahau shabu na ile 'blue' ya kufulia nguo nyeupe. Atumie kwa siku 3 kutwa mara 6 atashangaa mabadiliko na kipindi cha dose anaweza kumvisha mama pampers atoboe katundu kadogo kwa nyuma kwa ajili ya staili ya mbuzi kagoma
He wewe unataka kumchuna mwenzako huko sehemu za siri kwa mchanganyiko huu. Ni afadhali aende hospitali kwa gyno akaeleze hayo matatizo yake na apendapo Mungu atapatiwa ufumbuzi.
Jengine ni kwamba huyu jamaa ameomba ushauri sasa kwa nini munamshurutisha kuwa ni mke wake? Hata kama ndiye lakini yeye hakumtaja jina wala mtaa anaoishi na wala hatumtambui. Kwa hivyo ni vyema mukampa maneno ya msaada.
Ingekuwa ametaja jina lake/rafiki yake na huyo mkewe hapo ndiyo ingekuwa issue.
Angepeleka wapi? Huoni kuwa amepata ushauri wa maana hapa ambao pia unasaidia wengine. Wewe vipi bana?Nimesikitishwa sana na hatua yako ya kuleta mapungufu ya mkeo hadharani ni tabia mbaya na HAIKUBALIKI/VUMILIKI!
Kuhusu harufu ya kinyesi mkeo anaweza kuwa na tatizo la piles-bawaziri,tatizo la harufu ukeni anaweza kuwa na infection ya aina flani, harufu ya mwili afanye mazoezi,kuoga na medicated soaps na kutumia deodorant au perfume na wengine husugua kwapa kwa kipande cha ndimu na kuosha baada ya dakika kadhaa.Kama uko mijini mpeleke sauna mara 1 kwa wiki utaona tafauti kubwa kwenye harufu.
Matatizo ya harufu za kinyesi/uke mpeleke hospitali apate tiba.
Nimesikitishwa sana na hatua yako ya kuleta mapungufu ya mkeo hadharani ni tabia mbaya na HAIKUBALIKI/VUMILIKI!