shareef95nes
Senior Member
- Jan 16, 2013
- 108
- 16
Level mpya na mambo mapya,safari ya advance huwa inaanza upya kama ile ya kutoka primary kwenda secondary,na haijalishi huko nyuma ulikuwa na point ngapi.Vile vile over confidence na kubweteka ni sababu kuuuubwa inayosababisha hayo.
Kumbe ndo hivyo wakuu.Ngoja tufate yenu
Ndo ivo bana,kule ukibweteka na one yako unaliwa.Mi nakumbuka sisi tuliokuwa na 13 tumekuja kuwagap hata waliokuwa na 7,8 na 9.Cha msingi ni kukaza zaidi mpaka kieleweke.
Na vp mimi mzee hana uwezo wa kunilipia tution isipokuwa hapa nyumbani kunavitabu vya comb nayoenda kusoma.itakuwa na effect yoyote nikienda bila kusoma tution Mkuu.
kweni unapiga comb gani mkuu?
Na vp mimi mzee hana uwezo wa kunilipia tution isipokuwa hapa nyumbani kunavitabu vya comb nayoenda kusoma.itakuwa na effect yoyote nikienda bila kusoma tution Mkuu.
oky i'll do that.vp vitabu vya chand ni vizuri mkuuAsee we nenda kakomae tu utachomoka fresh kabisa.Vile vile tafuta mtu akusaidie kukupiga pindi kwa muda huu wa likizo ila vitopic vingine unaweza kukomaa navyo mwenyewe kama una uwezo.Mfano mechanics unaweza kuisongesha mdogo mdogo endapo una uwezo wa kupiga msuli yatima.
oky i'll do that.vp vitabu vya chand ni vizuri mkuu
oky i'll do that.vp vitabu vya chand ni vizuri mkuu
Asee we nenda kakomae tu utachomoka fresh kabisa.Vile vile tafuta mtu akusaidie kukupiga pindi kwa muda huu wa likizo ila vitopic vingine unaweza kukomaa navyo mwenyewe kama una uwezo.Mfano mechanics unaweza kuisongesha mdogo mdogo endapo una uwezo wa kupiga msuli yatima.
Msuli Yatima! Ndebile ameipenda, thank you kijana!