haswa kama mumewe angejua kuyatumia kivipi mtoto akudatishe?mwambie mmeo ayatumie usiku kuchs uone kesho yake kama mtoto ataku.....
Ngono kwa 70% na zaidi ni swala linaloongozwa na ubongo, aondoe hica za ngono ataovercome tatizo.:nono:Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi.
Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita.
Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha mwanangu nakuwa Napata orgasm. Yani najisikia vibaya sana jamani, sielewi kwanini nakuwa ninacome kila ninapomyonyesha mtoto, yani orgasm zenyewe ni zile ambazo zinakuwa very strong yani sijawahi kuzipata kama hizi huko nyuma nikiwa shughulini na mume wangu, mpaka sometimes najikuta nakauka mwili mzima kuna siku moja karibia nimdondoshe mtoto.imefikia pahala nikitaka kumyonyesha mtoto mpaka nijifungie chumbani niwe peke yangu ili mtu asinione ninavyotetemeka.
Hichi kitu kinanisumbua sana ,sijamwambia mtu yoyote hata mume wangu nimeshindwa kumueleza .ningependa kujua je kuna mwanamke yoyote ambae amewahi kuexpirience hichi kitu, je itaisha yenyewe au niende kwa doctor?
Naombeni ushari tafadhali najiona kama namuabuse mtoto wangu ila pia kuacha kumnyonyesha naona kama nitakuwa namkosesha kitu muhimu.
Great thinkers plz, wadada is this a normal thing? nimeguswa na huyu dada sana.
source;
hahahahaha lol kwa kweli umenichekesha lol
mmmhhhh kwa kweli nasubiria kwa hamu siku kama hiyo
nataka kupata hiyo feeling ya kunyonyesha mtoto hahahah..
nahisi itakuwa tofauti na ya mtoto mkubwa hahahah ....
mmmhhhhh labda mtoto mdogo kulia na mtoto mkubwa kushoto au wa onaje??
maana hii mali ya shirika lol.....
Hivi kweli mtoto mkubwa atapenda yale maziwa kweli..lol
Mhhhh! AD haya kila la heri...nasikia wengine wanayapenda na huwamalizia watoto wao hahahahahahahaha...I am just joking LOL!
Baadhi ya wachangiaji wa hii mada kule Uturn wamechangia vizuri sana huu mjadala huu. Angalia link ya uturn kama ilivyowekwa na muuliza swali
Unaenda wapi na jamaa kaingia na gia ya Youtube rudi kule bana.sante dear
ngoja niende huko..
Unaenda wapi na jamaa kaingia na gia ya Youtube rudi kule bana.
Kaweka ingine rudi nimecheka comment ya Kloro nacheka mpaka sasa ki=youtube lol!hhahahahhahha lol
mmhh ndo maana nika kwambia
ntakufungulia station yako binafsi
UBC (Uporoto Brod Casting )
hahahhaha lol
naona nyimbo zimeisha kwenye you tube lol
Kaweka ingine rudi nimecheka comment ya Kloro nacheka mpaka sasa ki=youtube lol!
hahahhahahah lol
mmhh anayeyapenda hayo basi mie na muuogopa..
maana yale ya mara kwanza ni yellow color hahahahah
mmhh hata sio maziwa yako kama mastitis ya ngombe lol
Haya wewe mnyonyeshe tu hahahahahahaha akishashiba anaweza kusahau kabisa hata ile habari nyingine...akakwambia anasikia usingizi baada ya kushiba LOL! hapo itabidi uanze kumnyima nyonyo LOL!
Ahene nkima ebhe lekaga imihayo yako nu bhudoshi bhoko. Unene nagutogilwe gete gete. Managa giko lulu..
Inaelekea mumewe hajui kuyatumia hayo maziwa:A S 39:
Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi.
Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita.
Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha mwanangu nakuwa Napata orgasm. Yani najisikia vibaya sana jamani, sielewi kwanini nakuwa ninacome kila ninapomyonyesha mtoto, yani orgasm zenyewe ni zile ambazo zinakuwa very strong yani sijawahi kuzipata kama hizi huko nyuma nikiwa shughulini na mume wangu, mpaka sometimes najikuta nakauka mwili mzima kuna siku moja karibia nimdondoshe mtoto.imefikia pahala nikitaka kumyonyesha mtoto mpaka nijifungie chumbani niwe peke yangu ili mtu asinione ninavyotetemeka.
Hichi kitu kinanisumbua sana ,sijamwambia mtu yoyote hata mume wangu nimeshindwa kumueleza .ningependa kujua je kuna mwanamke yoyote ambae amewahi kuexpirience hichi kitu, je itaisha yenyewe au niende kwa doctor?
Naombeni ushari tafadhali najiona kama namuabuse mtoto wangu ila pia kuacha kumnyonyesha naona kama nitakuwa namkosesha kitu muhimu.
Great thinkers plz, wadada is this a normal thing? nimeguswa na huyu dada sana.
source;