Anapata orgasm akimnyonyesha mtoto!!! ushauri plz

haswa kama mumewe angejua kuyatumia kivipi mtoto akudatishe?mwambie mmeo ayatumie usiku kuchs uone kesho yake kama mtoto ataku.....

No guyz mtu anapokua anahitaji msaada hata wa mawazo majibu anayohitaji siku zote hata kama unahisi huna msaada huwa ni ya kufariji na si ya mzaha na kuvunja moyo.
 
Ngono kwa 70% na zaidi ni swala linaloongozwa na ubongo, aondoe hica za ngono ataovercome tatizo.:nono:
 


Mhhhh! AD haya kila la heri...nasikia wengine wanayapenda na huwamalizia watoto wao hahahahahahahaha...I am just joking LOL!

 
nadhani itaisha baada ya miezi mitatu hivo aendelee kunyonyesha.sishauri sana amkamulie ktk chupa mtoto anaweza kupata infenction.kosa lake mumewe hakuyachezea mazi wa yake vya kutosha,kunyonya nk na huyu dada hisia zake zipo kwneye chuchu nae alifanya kosa kutomwambia mwenzie zilipo hisia zake si kila mwanamume ni mbunifu wa kujua/ avumilie ampe toto ziwa anyonye kwa raha zake na aache kuwaza aone ni kawaida.
 
Baadhi ya wachangiaji wa hii mada kule Uturn wamechangia vizuri sana huu mjadala huu. Angalia link ya uturn kama ilivyowekwa na muuliza swali
 
Mhhhh! AD haya kila la heri...nasikia wengine wanayapenda na huwamalizia watoto wao hahahahahahahaha...I am just joking LOL!


hahahhahahah lol
mmhh anayeyapenda hayo basi mie na muuogopa..
maana yale ya mara kwanza ni yellow color hahahahah
mmhh hata sio maziwa yako kama mastitis ya ngombe lol
 
Unaenda wapi na jamaa kaingia na gia ya Youtube rudi kule bana.

hhahahahhahha lol
mmhh ndo maana nika kwambia
ntakufungulia station yako binafsi
UBC (Uporoto Brod Casting )
hahahhaha lol

naona nyimbo zimeisha kwenye you tube lol
 
hhahahahhahha lol
mmhh ndo maana nika kwambia
ntakufungulia station yako binafsi
UBC (Uporoto Brod Casting )
hahahhaha lol

naona nyimbo zimeisha kwenye you tube lol
Kaweka ingine rudi nimecheka comment ya Kloro nacheka mpaka sasa ki=youtube lol!
 
Kaweka ingine rudi nimecheka comment ya Kloro nacheka mpaka sasa ki=youtube lol!

hahahahhaahah lol
hiyo comment ya Klorokwin yaani imenimaliza mbavu..
jamaa anavichekesho yule..
kwa kweli tunawahitaji watu kama hao hapa JF..

haya ngoja nika check nani aniimbia za mapenzi sasa lol
 
hahahhahahah lol
mmhh anayeyapenda hayo basi mie na muuogopa..
maana yale ya mara kwanza ni yellow color hahahahah
mmhh hata sio maziwa yako kama mastitis ya ngombe lol

Haya wewe mnyonyeshe tu hahahahahahaha akishashiba anaweza kusahau kabisa hata ile habari nyingine...akakwambia anasikia usingizi baada ya kushiba LOL! hapo itabidi uanze kumnyima nyonyo LOL!

 
Haya wewe mnyonyeshe tu hahahahahahaha akishashiba anaweza kusahau kabisa hata ile habari nyingine...akakwambia anasikia usingizi baada ya kushiba LOL! hapo itabidi uanze kumnyima nyonyo LOL!


duuuhhhh
hahahahahahh lol
basi simpi kabisa..
mimi siwezi kuwatimizia mahitaji yao..
huku bado wananivuta mmmhh
halafu mtoto mkubwa asinitimizie yangu ..
kweeeellliiiiii hatutaelewana
hahahhahahah lol
 
Biologically, ni tatizo la hormone. Kwa Tz hormone therapy sijui ni wapi wanafanya na ningumu kucontrol hali hiyo kwani ni chemicals za mwili. Unaitaji kumuona gynecologist, mtaalamu wa mambo ya wanawake watakupa ushauri zaidi amadawa za suppress hormones hizo.

Alafu jua nipples ni very sensitive, jaribu kumnyonyesha mtoto huku unafanya kitu kingine kuondoa mawazo na pia mnyonyeshe kidogo kigogo.
Inatokea kwa wanawake wachache na wewe umekuwa kati yao, usijali sio ugonjwa....pole.
 
co vbaya kama akiwa ananyonyesha mzee awepo karibu ili wajumuike pamoja kwenye mambo yetu
 
unapomyonyesha mwanao weka mawazo yako pale, acha kukaa chumbani unapomnyonyesha, kaa na watu wengine.
 

U-turn hawakupata jibu na ushauri? by the way amwambie mmewe ili ajua la kufanya na sio aibu...anamwogopa mmewe zaidi ya U-turn?
 
ikishindikana uwe unamkamulia maziwa mwanao na unamuwekea katika chupa, maana kama akinyonya mara kumi kwa siku si ina maana utakuwa na bao kumi? baba yake nae akipiga zake tatu duuuuuuh itakuwa balaa, watakuua . Nenda hospitali kawaone wataalamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…