Mshua's
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 804
- 553
Wakuu habari zenu!
Kuna kijana amemaliza form 6 amekuja kuniomba ushauri kuwa asomee taaluma gani ambayo itamuwezesha kufanya kazi ikiwa mapato/malipo yanategemea na kujituma kwake/bidii kazini. Malipo hayo yawe yanafanyika mara anapokuwa amemaliza kufanya kazi husika aidha baada ya siku kadhaa na siyo kwa mwezi!
Nimeona niwashirikishe ili muweze kutoa michango yenu inayoweza kumsaidia huyu kijana. Binafsi sijaona kazi ya aina hiyo kwa hapa Tanzania.
Mshua
Kuna kijana amemaliza form 6 amekuja kuniomba ushauri kuwa asomee taaluma gani ambayo itamuwezesha kufanya kazi ikiwa mapato/malipo yanategemea na kujituma kwake/bidii kazini. Malipo hayo yawe yanafanyika mara anapokuwa amemaliza kufanya kazi husika aidha baada ya siku kadhaa na siyo kwa mwezi!
Nimeona niwashirikishe ili muweze kutoa michango yenu inayoweza kumsaidia huyu kijana. Binafsi sijaona kazi ya aina hiyo kwa hapa Tanzania.
Mshua