Hiyo kazi hapa Tanzania ipo nayo ni kujiajiri, atafute mtaji tu atumie elimu yake kujizalishia badala ya kuzalishia wengine.
Sasa hivi ni hasara tupu kuwasomesha hawa watoto, ni kwa nini wewe au yeye asifikirie kuajili watu wa kumzalishia na anawaza kuajiliwa tu. janga.Biashara anaweza kukaa hadi wiki hujauza kama akikosea kwenye uchaguzi wa biashara ya kufanya ndiyo basi tena! Anamaanisha kazi inayopimika ya kiofisi yaani, kadri unavyomaliza kipimo hicho haraka, unaongeza kipimo kingine ili kuongeza kipato. Ndiyo maana nikasema Tanzania hakuna