Anapenda kujichanganya na wanaume.... Ushauri plz!



Sasa wewe siyo mwanaume? unamtakaje asijichanganye na wanaume wakati anajichanganya na wewe ukiwa mwanaume. au unamaanisha nini unaposema kujichanganya na wanaume?. kuna kitu umekificha, hebu kuweke wazi nikusaidie
 

Safi sana LD, upo shosti wangu? lol
 
Reactions: LD
Sioni sababu ndio akae nao, mimi kwetu tumezaliwa 10 na 9 wote ni wanaume wakike peke yangu na kwetu kulikua hakwishi wanaume rafiki wa kaka zangu lakini haikua sababu ya mie kukaanao na ukikaa baribu yao utaipata habari yako.

Hapo ni sawa kabisa,kwa hali ya kawaida mtotoo wa kike muda wote upo na wanaume umekaa kijiweni unapiga stori!!!! yaani hapana,kunaki2 hakipo sawa.Ni tabia mbaya
 
Mhhhhhhhh!!!! mimi mwenyewe rafiki zangu wakubwa wanaume. Sidhani kama ni tatizo. Ila watu wanaokuzunguka mara nyingi huwa wanakuchukulia kama mhuni. Ila kwa wakati mwingine inaweza isiwe hivyo binafsi nimesoma shule, chuo na rafiki zangu wakubwa walikuwaga wanaume lakini hakuna hata mmoja aliwahi kunimega.
 
Reactions: ram
Inategemea kakangu, kujichanganya na wanaume si kwamba basi yeye ni mhuni, watu wengine wameumbwa hivyo tu, mimi mwenyewe asilimia kubwa ya marafiki zanguni wanaume na si kwamba natoka nao kimapenzi ni kamapani tu,so relax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…