marida
Senior Member
- Oct 27, 2011
- 168
- 20
Habari zenu wana jf.Nina rafiki yangu wa kiume,huu mwaka sasa unakata,tupo marafik vizuri tu,tatizo alilonalo,hajui kumtongoza mwanamke..eti yeye anasema action atakazokuwa anaonyesha kwa
yule ampendae atajua tu mwenyewe,kashawahi kukutana na mabinti kama 6,lakini kutokana na kutojiexpress mwenyewe anataka nini kutoka kwa hao mabinti,anashindwa kabisa,ingawa wapo waliojiongeza na kujua anataka nini kutoka kwao,ila hawawezi kumtamkia chochote,na yeye yupo kimnya tu,anaumia moyoni..
Sasa juzi juzi kakutana na binti mmoja,wamekuwa marafiki kwa muda wa miezi 5,kampenda kweli,tatizo hawezi mtamkia kabisa,they end up discussing mada ambazo ni unnecessary,na msichana anamchukulia kama anavyojileta kwake,akimpa story za shule,nae analeta za shule,za nyumban nae anaongelea hayo hayo.Mwisho,anaconclude mwenyewe eti hanipendi,Jamani huyu ndugu yangu anamatatizo gani?,ni kwamba hawezi kumtamkia mwanamke nakupenda au ni ugonjwa?.Sometimes utakuta ananiambia marida,leo lazima nimwambie ukweli nampenda,akifika kule,ananywea huyo.Nikija kumuuliza baadae,anasema hanipendi yule msichana,huku akihuzunika..
Kama kifamilia,kwao wote ni wavulana,sijui ni hali ya kawaida tu kwa mvulana yoyote kutokea hivyo?.Help this friend of my mine please!by your good ideas.
Tatizo ni nini?
yule ampendae atajua tu mwenyewe,kashawahi kukutana na mabinti kama 6,lakini kutokana na kutojiexpress mwenyewe anataka nini kutoka kwa hao mabinti,anashindwa kabisa,ingawa wapo waliojiongeza na kujua anataka nini kutoka kwao,ila hawawezi kumtamkia chochote,na yeye yupo kimnya tu,anaumia moyoni..
Sasa juzi juzi kakutana na binti mmoja,wamekuwa marafiki kwa muda wa miezi 5,kampenda kweli,tatizo hawezi mtamkia kabisa,they end up discussing mada ambazo ni unnecessary,na msichana anamchukulia kama anavyojileta kwake,akimpa story za shule,nae analeta za shule,za nyumban nae anaongelea hayo hayo.Mwisho,anaconclude mwenyewe eti hanipendi,Jamani huyu ndugu yangu anamatatizo gani?,ni kwamba hawezi kumtamkia mwanamke nakupenda au ni ugonjwa?.Sometimes utakuta ananiambia marida,leo lazima nimwambie ukweli nampenda,akifika kule,ananywea huyo.Nikija kumuuliza baadae,anasema hanipendi yule msichana,huku akihuzunika..
Kama kifamilia,kwao wote ni wavulana,sijui ni hali ya kawaida tu kwa mvulana yoyote kutokea hivyo?.Help this friend of my mine please!by your good ideas.
Tatizo ni nini?