Anapiga kelele sana mpaka naona aibu

Akipiga kelele wewe piga yowe lazima anyamaze tu dawa ya moto ni moto
 
Habari zako za kitandani hazitusaidii wala kukusaidia. Unapojitangaza hivi unataka wanaopenda wapiga kelele wamnyemelee halafu uanze kumlaani na kuwalaani wakati umetafuta matatizo mwenyewe. Habari za kitandani ni sawa na za chooni. It is not for public consumption. Acha uliumbukeni na ushamba wa kutumia mitandao mwanangu. Utakuja kujuta ukumbuke ushauri wangu
 
Hivi we una nn?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Ila kweli mwana, Iyobo anyamaze tu mana naweza hisi mi ndo nakaza.
Hapana aiseeeeh
Nadhani ipo haja ya ku restore factory settings zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…