Anasema bikra

Anasema bikra

Soulbrother

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
405
Reaction score
17
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.

Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.

Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.

Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.


My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?
 
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.

Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.

Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.

Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.


My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?

Chuna tu huenda kaitengeneza ya kichina ! ukimwambia halafu akamwingilia na kukuta ya kichina utazua ugomvi
 
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.

Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.

Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.

Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.


My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?

Hiyo kiboko mkuu. Wewe kauka tu,akishammega atakupa feedback.
 
Du...hii hata kama ni ya kuchonga, umeiweka vizuri sana,,,nimeipenda mbaya!
Aisee, waheshimu sana, wala usijaribu kumsemesha huyo demu.

Shida itakuja kama kuna jamaa wanaojua kwamba ulikuwa unamega, watampa ishu jamaa!
 
Tafuta nafasii mwambie demu mkumbushie ukimaliza tulia tu!!
 
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.

Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.

Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.

Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.


My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?

Dah! Huyo demu noma. Kama amejifanya basi ana lake jambo. Hebu omba kukumbushia usikie atasemaje. Then you can start fro there.
 
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.

Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.

Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.

Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.


My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?
Maadam jamaa kafika bei, usiwaharibie mood. Waache tu waendelee na process za kuoana. Labda huyo dada ameabstain muda mrefu mpaka bikra imerudi
 
Huyo binti shida yake ndoa!! Na anaonekana muongo sana!! Kama anaweza kudanganya hilo ambalo anajua linaweza kugundulika mengine je!!!? Achana nae, njia ya moungo fupi!!
 
Kwa huyo mchumba kuanza kusema uongo sio dalili njema kwa rafiki yako. Mshauri (bila kuonesha wasiwasi na hiyo bikra) rafiki yako kwa upendo kabisa aende taratibu inawezekana kuna mengi yanafichwa!

Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.

Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra🙁, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake😀.

Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.

Demu amejifanya hanijui 😱na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti🙄.


My friend yuko excited 😕 anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?
 
kaka kaa kimya.
ni wageni wako
peingine kweli amekusahau maana hawa watu huwa hawakawii kusahau
watreat vizuri kaka, watoe na out ikibid

rafiki yako amependa, watu hubadilika.
 
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.

Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.

Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.

Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.


My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?

Mkubwa kwani wewe kwenye hili unahusika vipi?

Ninamaanisha kuwa dawa ya mtu anayetaka bikra wakati yeye mwenyewe si bikra ni kupewa made in China back streets.

Halafu kwani unataka bikra ili iweje? Ndo hawa wanaobaka watoto wadogo kusaka kijishimo cha tundu la sindano, kwani karungu kako ni vipi? au saizi ya tooth pick nini? Ukishapiga ukakuta chubwi chubwi utaomba back door si ndo hivyo. Kweli uhayawani umeongezeka sana duniani.

Na ubikira hauna uhusiano kabisa na tabia njema shauri yako. Siku hizi zama za Mchina hata Kibibi gula anaweza kutengeneza tu.

Unataka bikira ya nini? Hujui hata uarabuni na uhindini wanakuta bikira ipo lakini kumbe ni ya upande mmoja na wanapigwa changa la macho bila kujua? YETU MACHO!
 
Mkubwa kwani wewe kwenye hili unahusika vipi?

Ninamaanisha kuwa dawa ya mtu anayetaka bikra wakati yeye mwenyewe si bikra ni kupewa made in China back streets.

Good obeservation!
 
Wewe kaaa kimya dont try kusema kwa huyo rafiki yako kuwa thats a hole. Kaa kimya kama vile hujui kitu. Hii ni kwa usalama wako na mahusiano ya hao wenzako. Ila sasaa sio uendelee kumtafuna huyo shemeji yako maana unaweza kutumia hicho kigezo kuomba incrementalism ya game
 
Walipokutana haukuwepo, wala rafikio hajakuomba maoni, sasa kimbelembele cha nini? Achana nao waendelee na ya kwao. Wala usitake kukumbushana na yule demu wala usimsomgelee maana ulishamaliza wakati wako. Mara nyingi mwizi anayedakwa au kuuawa ni yule anayerudi kwenye nyumba tena wakati wenzake wametoka na kuondoka.
 
Back
Top Bottom