Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 17
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.
Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.
Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.
Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.
My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.
Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.
Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.
Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.
My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.
Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.
Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.
Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.
My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?
Weweee! Kama ametengeneza ya kichina si ndo ataharibu kabisaaa! Kwanza keshajifanya hamjui!Tafuta nafasii mwambie demu mkumbushie ukimaliza tulia tu!!
Maadam jamaa kafika bei, usiwaharibie mood. Waache tu waendelee na process za kuoana. Labda huyo dada ameabstain muda mrefu mpaka bikra imerudiJana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.
Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.
Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.
Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.
My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?
why all this hypocricy? i mean why?
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.
Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikraπ, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zakeπ.
Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.
Demu amejifanya hanijui π±na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofautiπ.
My friend yuko excited π anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?
hahahahahahahaha....usitupe boga na ua lake....jikumbushe tu halafu uchune!Tafuta nafasii mwambie demu mkumbushie ukimaliza tulia tu!!
Jana rafiki yangu, niliyesoma naye kijijini, amekuja na mchumba wake kunitembelea.
Kabla hajafika alinipigia kuniambia kuwa mchumba ni bikra, anasubiri mpaka "wedding night" na nikampa hongera zake.
Wamefika jana jioni,nimewafuata ubungo na nikabaki mdomo wazi. mchumba ni demu niliyekuwa namega long time nikiwa shule na mimi mwenyewe nilikuta hamna bikra enzi zile.
Demu amejifanya hanijui na tulipofika home, wameomba kulala vyumba tofauti.
My friend yuko excited anataka kumtambulisha kwao aanze process. Nimewaacha home leo nikiwa na wasiwasi. Nimwambie au niuchune?
Mkubwa kwani wewe kwenye hili unahusika vipi?
Ninamaanisha kuwa dawa ya mtu anayetaka bikra wakati yeye mwenyewe si bikra ni kupewa made in China back streets.