Anasema bikra

usimtilie mchanga kitumbua chuna ila atakuja kukutonya
 
why all this hypocricy? i mean why?
Haa haa haaaa!!! Mapenzi, mapenzi, mapenzi, mapenzi !! Watu wameamka vitandani lakini wanaingia maofisini wakiwaza hayo tu. Hawa ndio Great Thinkers! Kwani hata haya yanahitaji kubandika humu kila siku? Msiniquote vibaya, nimesema kila siku? Sina ugomvi na wapambe wa hayo, ila mitandao ina mengi ya kufundishana!!
 
Kwa nn usimwokoe jamaa ako?
Yaani umechezea gemu weee jamaa anafika bei nina uhakika mtakuja kukumbushia ni bora ukamshauri jamaa ako aachane nae huyo mwanamke sio mwaminifu kabisa.
 
Mimi nafikiri hapo ni kukaa kimya tu. Lakini kama unajua la zaidi ambalo huenda likamletea matatizo huyo rafiki yako na hiyo familia anayotaka kuianza, tafuta namna ya kuliweka hilo tatizo kwa huyo rafiki yako bila kugusia mahusiano yenu ya huko nyuma. Wengine wamewahi kuwa na mahusiano enzi za shule, wakaachana na kuja kushtuka kaka/dada kaoa/kaolewa kwenye nyumba husika na bado heshima ikatunzwa!
 

swadaktaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
 

Mwache auingie mkenge atajiju
 

pilipili ya kijijini (shamba) inakuwashia nini? mind your own business.
 
umeshangaa nini sasa wakati bikra za kutengeneza zipo kibao siku hizi..mwache tu jamaa azindue akutane na bikra ya kichina..
 
Mshikaji kaondoka leo... nimeuchuna na nilipowafikisha ubungo, my shem to be akaniambia ahsante with a knowing smile... najisikia vibaya... yaani najiona betrayer ile mbaya... he is my friend but its none of my biz kama bikra ya kichina au ya india....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…