Ikawe na matumizi sahihi kwako. Isije kuwa chanzo cha simanzi kwa familia yako na wewe mwenyewe.Ndugu zangu habari, mm ni kijana wa almost 40 nipo katika ndoa kwa takriban miaka zaidi ya nane na tuna watoto kadhaa na mke wangu.
Kutokana na aina ya biashara zangu za safar zangu ilinilazimu nitafute lesen ya kumiliki BUNDUKI nikapata lesenu zaid ya moja.
Mke wangu kwakel huwa hapend hata mabunduki kila siku ananimbia hayaoendu na niachabe nayo, kila napojaribu kumwambia umuhomu wake kwetu anasema kama simsikilizi na SIMPENDI.
Nature yangu sio mkorofi Wala sijawai hata siku moja kuimisuse, naombeni ushauri nifanye nini.
andika vizuri nduguNdugu zangu habari, mm ni kijana wa almost 40 nipo katika ndoa kwa takriban miaka zaidi ya nane na tuna watoto kadhaa na mke wangu.
Kutokana na aina ya biashara zangu za safar zangu ilinilazimu nitafute lesen ya kumiliki BUNDUKI nikapata lesenu zaid ya moja.
Mke wangu kwakel huwa hapend hata mabunduki kila siku ananimbia hayaoendu na niachabe nayo, kila napojaribu kumwambia umuhomu wake kwetu anasema kama simsikilizi na SIMPENDI.
Nature yangu sio mkorofi Wala sijawai hata siku moja kuimisuse, naombeni ushauri nifanye nini.
No way.mm ni kijana wa almost 40
Naunga mkono hojaKisichokuua kitakukomaxa. Mkeo ana siri moyoni....anajua anytime kitawaka. Nakushaur ongeza bunduki ya tatu.
Chagua moja ama kumiliki bunduki au kumiliki mke msaliti vinginevyo yatakukuta makubwa.Ndugu zangu habari, mm ni kijana wa almost 40 nipo katika ndoa kwa takriban miaka zaidi ya nane na tuna watoto kadhaa na mke wangu.
Kutokana na aina ya biashara zangu za safar zangu ilinilazimu nitafute lesen ya kumiliki BUNDUKI nikapata lesenu zaid ya moja.
Mke wangu kwakel huwa hapend hata mabunduki kila siku ananimbia hayaoendu na niachabe nayo, kila napojaribu kumwambia umuhomu wake kwetu anasema kama simsikilizi na SIMPENDI.
Nature yangu sio mkorofi Wala sijawai hata siku moja kuimisuse, naombeni ushauri nifanye nini.
Maamuzi ya hiv siwez badir historia ya maisha KISA mapenzi,Mungu atusaidieShituka mkuu, anahisi ipo siku atapigwa chuma yeye akikamatwa anachepuka
Hizo fomu ulizijazaje mkuu kwa uankwa muandiko huo huo