Anasema simpendi kisa ninamiliki bunduki

pure man

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2015
Posts
553
Reaction score
443
Ndugu zangu habari, mm ni kijana wa almost 40 nipo katika ndoa kwa takriban miaka zaidi ya nane na tuna watoto kadhaa na mke wangu.

Kutokana na aina ya biashara zangu za safar zangu ilinilazimu nitafute lesen ya kumiliki BUNDUKI nikapata lesenu zaid ya moja.

Mke wangu kwakel huwa hapend hata mabunduki kila siku ananimbia hayaoendu na niachabe nayo, kila napojaribu kumwambia umuhomu wake kwetu anasema kama simsikilizi na SIMPENDI.

Nature yangu sio mkorofi Wala sijawai hata siku moja kuimisuse, naombeni ushauri nifanye nini.
 
Ikawe na matumizi sahihi kwako. Isije kuwa chanzo cha simanzi kwa familia yako na wewe mwenyewe.
 
Shituka mkuu, anahisi ipo siku atapigwa chuma yeye akikamatwa anachepuka
 
Si vibaya kumiliki siraha kwa dhumuni la kujikinga dhidi ya maadui...hususani nchi yetu hii maadui wakubwa wakiwa niwale wasio julikana.
Soo, zingatia imani yako ya siraha popote pale uwapo.
Usimuamini yoyote usie mjua hadi pale utakapo jilidhisha kua nimtu mwema na salama kwako.
 
andika vizuri ndugu
 
Umepevuka Mwili na Umri sina Uhakika na Akili.
 
Anajua ipo siku utamfumua ubongo kale kajamaa kanayemkaza GOTI kwa ustadi na viwango vya vyeta chang'ombe.....
 
almost miaka 40.........unamiliki ujinga ndio maana wanakukimbia
 
Chagua moja ama kumiliki bunduki au kumiliki mke msaliti vinginevyo yatakukuta makubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…