M Mbavu za Mbwa JF-Expert Member Joined Jan 2, 2011 Posts 303 Reaction score 154 Apr 15, 2012 #1 Wana jukwaa!! Mama yangu mwenye umri wa miaka 58 anasumbuliwa na miguu. Inamuuma kuanzia ktk magoti hadi katika nyayo. Anaumwa nyama pamoja na mifupa ya miguu. Tatizo hili linaweza kutibiwa na dawa gani?
Wana jukwaa!! Mama yangu mwenye umri wa miaka 58 anasumbuliwa na miguu. Inamuuma kuanzia ktk magoti hadi katika nyayo. Anaumwa nyama pamoja na mifupa ya miguu. Tatizo hili linaweza kutibiwa na dawa gani?