Anaswa na nguo za ndani 20 alizoibia majirani, adai alitaka kumridhisha mpenzi wake

Anaswa na nguo za ndani 20 alizoibia majirani, adai alitaka kumridhisha mpenzi wake

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Joel Kimurgor (19) anashikiliwa kwa kuiba chupi za Wanawake katika Kijiji cha #Tegeyat, Kaunti ya Nandi, kufuatia mfululizo wa kutoweka kwa ajabu kwa nguo hizo zilizoripotiwa katika eneo hilo

Kwa wiki kadhaa, kumekuwa na visa vya Wanawake kuripoti upotevu wa nguo zao za ndani kutoka kwenye kamba nyakati za usiku ambapo walianzisha zoezi la upekuzi kutoka nyumba moja hadi nyingine ndani ya kijiji hicho

Siku ya Jumatatu, Aprili 23, 2023, Kijana huyo alipatikana na chupi hizo ndani ya nyumba yake na alikiri kuiba ili kumfurahisha mpenzi wake ambaye alimwomba amnunulie nguo mpya za ndani kama njia ya kuonyesha mapenzi

..........

Man Caught With 20 Stolen Underwear Says He Wanted To Please His Girlfriend


A 19-year-old man suspected of stealing women's underwear in Tegeyat village, Mosop sub-county, Nandi County has been caught.

This Follows series of mysterious disappearance of female inner garments reported in the area.
For several weeks, there has been rising cases of women reporting the disappearance of their inner wear from the hanging lines at night upon which they launched a searching exercise from one house to another within the village.

On Monday, the man was found with female underwear in his house.
According to Tegeyat village elder Kiptanui Ronoh the suspect was nabbed with 20 women underwear and other type of clothes wrapped in bags.
The suspect, Joel Kimurgor confessed having stolen the underwear from different houses in the village so as to please his girlfriend who had requested him to buy new undergarments for her as way of showing love.
Sarah Kibet, a resident of Tegeyat village condemned the incident saying that it was an abomination in Kalenjin community to steal undergarment, adding that it was commonly practiced by witch-doctors and sorcerers .


Source: Citizen Digital
 
Back
Top Bottom