Anatafuta kazi ya u-secretary

Askofu

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2009
Posts
1,664
Reaction score
87
Wapendwa Mabibi na Mabwana,

Kuna ndugu yangu ambaye ni secretary. Alikuwa anafanya kazi mahala fulani kwa mkataba na sasa muda wake umeisha.

Mkiwa kama waumini wazuri, naomba msaada kama kuna mwenye nafasi au anaweza kumsaidia apate kazi, ani-PM for more details. Kwa niaba yake na kanisa langu natanguliza shukrani za dhati.

Nawaombea mpate Baraka Tele
 
weka CV hapa nimtafutie kazi Dowans mi namjua mmiliki wake
 
Wki moja au mbili zilizopita kulikuwa na Tangazo kwenye daily news wanatafuta secretary-tafuta hilo tangazo
 
Wki moja au mbili zilizopita kulikuwa na Tangazo kwenye daily news wanatafuta secretary-tafuta hilo tangazo

Asante Edo. Ila kupata gazeti la 2 wks ago itakuwa taabu kidogo labda niende kwao kuulizia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…