Habari wana JF. Nina mdogo wangu wa kiume anatafuta kazi, ana elimu ya chuo kikuu katika utawala na elimu. Ana uzoefu wa kufundisha 2+yrs na pia amefanya kazi benki 3yrs, mazingira yalikuwa magumu kikazi akaacha. Amejaribu kuomba sehemu mbalimbali hajafanikiwa. Mwenye kupata/kujua nafasi za kufundisha (sekondari Geogr, GS/CIV) au taasisi za fedha tafadhali nijuze. Shukrani sana. Ni-PM au 0782869969[/ni mdogo wako anatafuta kazi au wewe mwenyewe,ebu jarbu kuwa waz mkuu?
Senator,If A equals to B& B is not equal to CThen A is not equal to C.Habari wana JF. Nina mdogo wangu wa kiume anatafuta kazi, ana elimu ya chuo kikuu katika utawala na elimu. Ana uzoefu wa kufundisha 2+yrs na pia amefanya kazi benki 3yrs, mazingira yalikuwa magumu kikazi akaacha. Amejaribu kuomba sehemu mbalimbali hajafanikiwa. Mwenye kupata/kujua nafasi za kufundisha (sekondari Geogr, GS/CIV) au taasisi za fedha tafadhali nijuze. Shukrani sana. Ni-PM au 0782869969[/ni mdogo wako anatafuta kazi au wewe mwenyewe,ebu jarbu kuwa waz mkuu?