Wee mshenga umeshaanza fujo tayari
Anajuwa kusoma na kuandika anajuwa kiharabu na kiswahiliElimu ya dini [emoji23][emoji23]
Kwahiyo hajui hata A E I O U?
Hajaenda hata nasari?
Sasa ungesema ana elimu ya dunia na ilimu akhera
Sawa mkuu hahahaSasa ungesema ana elimu ya dunia na ilimu akhera
Dada huyooo kaolewa!!Njoo inbox nikupe dada yangu
sijui hawa waliozaliwa uarabuni ila hawajasoma elimu ya dini nao kwa kuongea kiarabu tu tiari washapata elimu ya dini...?!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa ungesema ana elimu ya dunia na ilimu akhera
Kwao wanataka aoe single Mather yeye hatakihawa watu wenye elimu ya dini sijui huwaga wana udhaifu gani(dini zote si uslam tu), yaan huko kote kwa watoto wa mashekh amekoswa(hadi anakuomba umtaftie) tena hum ndipo unadhani atapata, aseee kama yamemshinda ya huko mtaani kwake anakoishi walahi huku atakuja kujamba bure, tena ktk mabint ambao wapo simple wakisikia habari za ndoa ni watoto wa kiislam yan kuanzia mahali, process za ndoa ni bei chee, mwambie kama vp aonane na viongozi wake wa kidini watamptia mke bora kabisa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama vipi tuonganisheYupo dada wa rafki yangu,,mashallah amejaziajazia neema za mnyaazmungu,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiarabu ndio elimu yenyew ya dinisijui hawa waliozaliwa uarabuni ila hawajasoma elimu ya dini nao kwa kuongea kiarabu tu tiari washapata elimu ya dini...?!!
Sent using Jamii Forums mobile app