mkuu angekusaidia hata mkawahi kujenga msingi?Mh hapana aisee hata ungetaka wa kabila tofauti usingenipata,sioi mangi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] best bahati haiji mara mbili....changamkia fursaNyie jf inakuwaje mnaniletea notification ya huu uzi,kwan mmeambiwa natafuta nke?
Hizo Sifa zote huyo mume umemtemgemeza wewe ?Sifa:
-Awe mchaga anayeishi dar es salaam
-Umri miaka 30-40
-Dini Mkristo mlutheri
-Awe anajishughulisha au muajiriwa.
-Awe mweupe asiwe mrefu sana size ya kati.
Sifa zangu:
Ninafanya kazi dar
Umri wangu ni miaka 26
Mimi ni mrefu mweupe kiasi mkristo mlutheri niliyeokoka mzaliwa wa moshi(mchaga).
Kwa aliye tayari aje inbox
Huyo anataka kuchuma embe bila kujua hata nani aliyemwagilia hadi embe kuiva, awe na kazi au biashara utadhani alimpa mtaji au alimtafutia kazi yeye…Hizo Sifa zote huyo mume umemtemgemeza wewe ?