Anatafutwa headmistress

ibange

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2010
Posts
1,543
Reaction score
553
anatafutwa headmistress shule ya english medium ipo ukonga. awe angalao na disploma ya ualimu. piga 0719604156
 
Ukonga ipi... Magereza? au Uwanja wa Ndege? au Madizini?? au? Tuweke wazi, maana kuna mtu anataka kujua kabla hajakupigia simu
 
Kuna umbali gani kutoka gongo la mboto
 
Kitaifa, Mkoa, Wilaya, Kata na Kitongoji ni yangapi kwa matokeo ya mitihani mwaka uliopita?
 
Hiyo shule ni chekechea, primary au secondary? Maana angalau diploma ya ualimu....
 
Hiyo shule ni chekechea, primary au secondary? Maana angalau diploma ya ualimu....

hayo maswali yote yatajibiwa na mhusika kama mtu yupo serious awasiliane nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…