National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Huyo jamaa pamoja na kipato na elimu yake hana simu? Mbona unampostia wewe?Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza ( life partner ). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu..
Sifa zake :
Ajira : Ni mtaalamu wa miradi wa kujitegemea
Kipato : Jamaa ana kipato kizuri ( daraja la kati )
Elimu : Ana mawe mawili
Makazi : Dar es Salaam
Imani : Roman Catholic
Haiba: yupo kama bodyguard wa JPM yule black, sio mlevi, hapendi mademu, mpole sana , hatumii fegi.
Sifa za mwanamke:
Naona awe mwanamke yoyote macho ya jamaa yatachuja atapo kutana nae muhusika..
kikubwa awe ni mwanamke .
Asante, kwa mdada ataekuwa tayari anicheki PM nitawaunganisha na jamaa moja kwa moja.
Halafu sifa za jamaa zinafanana na mtoa Post!!Huyo jamaa pamoja na kipato na elimu yake hana simu? Mbona unampostia wewe?
Mkuu sema tu ni wewe, usije na gia za kumsingizia jamaa yako
Hapo ndio nachokaHalafu sifa za jamaa zinafanana na mtoa Post!!
Mkuu sio mimi. Jamaa yupo kwenye vetting.. nimeona na huku anaweza pata wawili watatu huwezi jua..Huyo jamaa pamoja na kipato na elimu yake hana simu? Mbona unampostia wewe?
Mkuu sema tu ni wewe, usije na gia za kumsingizia jamaa yako
Hapana mkuu, mie sina hizo sifa hata moja.Halafu sifa za jamaa zinafanana na mtoa Post!!
Sio kweli, mie na mwana tumeshibana sana toka utotoni kama pachaa yani, mie wife wangu yeye ndio alinipa connection na nipo nae hadi leo ππAkiwa π£ lawama utabeba na upo tayari? Mke hapatikani mtandaoni labda kma anataka changu doa atawapata
Huku kuna nini kwani mtaalamu ? Mbona mnaweka gingi nyie ma chiefHuku hawezi pata mke bwana wewe π€£π€£π€£π€£
Alikutafutia huhuhuku jamvini?Sio kweli, mie na mwana tumeshibana sana toka utotoni kama pachaa yani, mie wife wangu yeye ndio alinipa connection na nipo nae hadi leo ππ
Bas nenda uwanja wa fis pale kidogo wanafaa ila sio humu UTI zipo tena kali kma UTI za tandaleSio kweli, mie na mwana tumeshibana sana toka utotoni kama pachaa yani, mie wife wangu yeye ndio alinipa connection na nipo nae hadi leo ππ
Wangu yupo humu jamvini mbona na id yake ipo active kabisa ..Alikutafutia huhuhuku jamvini?
Naona kabisa amedhamiria kumuua jamaa yakeBas nenda uwanja wa fis pale kidogo wanafaa ila sio humu UTI zipo tena kali kma UTI za tandale
Anaitwa naniWangu yupo humu jamvini mbona na id yake ipo active kabisa ..
Duh! Jamaa yupo smart sana aki uelewe mchuchu lazima watapima kila kitu ..Bas nenda uwanja wa fis pale kidogo wanafaa ila sio humu UTI zipo tena kali kma UTI za tandale
We jamaa ni road trips,mzee wa adventure,mali zako zinapatikania porini!Hapana mkuu, mie sina hizo sifa hata moja.