Anatafutwa mpenzi

AMAFUMU

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
221
Reaction score
113
Ninastable ajira na shughuli zingine za kiuchumi.
Nahitaji
1. Mdada mzuri sana
2. awe na miaka 22-28
3. awe na elimu nzuri---ikiwa ya chuo nzuri zaidi.
4. awe tayari kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi

ni PM tu hasa ukinitumia namba yako ya simu ambayo naweza kukutafuta kwa whatsaap.
 
Changamkieni deal hilo wahusika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…