Anatafutwa mwalimu mahiri wa lugha ya Kikinga

Anatafutwa mwalimu mahiri wa lugha ya Kikinga

yellowkid

Member
Joined
Jul 30, 2017
Posts
27
Reaction score
18
Anatafutwa mwalimu mahiri wa lugha ya Kikinga.

SIFA:
1. Ajue kuongea, kusoma na kuandika kikinga na KISWAHILI
2. Awe tayari kufanya kazi popote kwa muda wa miezi sita.
3. Umri kuanzia miaka 45-70
4. Awe amezaliwa, kuishi, na kusoma elimu ya msingi makete.

MALIPO:
Malipo ni maelewano: Atalipwa kwa Kila mwezi. Pia, atapata kiinua mgongo baada ya kumaliza mafunzo.

KAZI KAZI

N:B Uchaguzi umekaribia, tunahitaji kuomba kura kwa kikinga
 
Back
Top Bottom