Anatafutwa mwanamke mwenye uwezo wa kupata mtoto-dau nono.

Ok hutaki mwanamke ila mtoto kama nimekusoma vizuri. Unaposema utamchukua mtoto baada ya mwaka mmoja umesahau sheria yetu Tz inatoa haki mama kumlea mtoto wake si chini ya miaka mitano au wewe uko nchi gani? Yote kwa yote huwezi kumnunua binadamu bali ni zawadi kutoka kwa Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…