Eswa
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 231
- 617
Habarini wanajamvi.?.
Jana katika ziara ya kikazi kijiji cha Matanga - Kongwa Dodoma, nilikutana na huyu mama, katika maongezi yetu aliniomba kumsaidia kumtafuta binti yake anayeitwa SEMENI BUNDALA waliachana naye muda mrefu sana, baba wa mtoto anaitwa BUNDALA NDUNG'O MANYELE (Maarufu kama KAZIMOTO), alimwacha akiwa anakaa na baba yake katika kijiji cha Iramba kata ya Igumanoni mkoani Tabora na yeye kuhamia Dodoma.
Huyu mama anaitwa Dina Mnyepembe anakaa kijiji cha Matanga - Kongwa Dodoma.
Mawasiliano: 0628 93 61 81 au 0622 13 46 57, hiyo ni namba jirani yake. Kama zisipopatikana unaweza kunipigia kwa 0652 52 77 76.
Naomba tusaidiane kusambaza ujumbe huu ili Semeni Bundala akutane na mama yake.
Asanteni sana.
Jana katika ziara ya kikazi kijiji cha Matanga - Kongwa Dodoma, nilikutana na huyu mama, katika maongezi yetu aliniomba kumsaidia kumtafuta binti yake anayeitwa SEMENI BUNDALA waliachana naye muda mrefu sana, baba wa mtoto anaitwa BUNDALA NDUNG'O MANYELE (Maarufu kama KAZIMOTO), alimwacha akiwa anakaa na baba yake katika kijiji cha Iramba kata ya Igumanoni mkoani Tabora na yeye kuhamia Dodoma.
Huyu mama anaitwa Dina Mnyepembe anakaa kijiji cha Matanga - Kongwa Dodoma.
Mawasiliano: 0628 93 61 81 au 0622 13 46 57, hiyo ni namba jirani yake. Kama zisipopatikana unaweza kunipigia kwa 0652 52 77 76.
Naomba tusaidiane kusambaza ujumbe huu ili Semeni Bundala akutane na mama yake.
Asanteni sana.