Anataka kusimamisha matiti.

Anataka kusimamisha matiti.

syndicate

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2016
Posts
238
Reaction score
391
Baby mama wangu kanianzia mbali sana, kanambia kuna mdada mtoto wa mjini amemtafuta anauza dawa za kusimamisha matiti.

Anaomba ushauri je atumie au asitumie, babymama wangu huyu yeye ana mtoto mmoja tu.

Anasema anahisi nina msaliti kisa amenyonyesha hivyo matiti yamepunguza mvuto!

Ni kweli huwaga tunapishana hapa na pale akinituhumu nina msaliti, lakini suala la usaliti sio la leo au jana ni kabla ya kuzaa nae, kipindi icho kweli nilikuwa wamoto sana!

Swali najiuliza je kwanini iwe leo hili suala la kusimamisha matiti liambatane na usaliti na sio miaka hiyo kabla ya kuzaa mind you kabla ya kuzaa tumewahi kutofautiana akinituhumu kuwa namsaliti lakini halikuletwa suala la kusimamisha matiti! WHY TODAY....!?


Nikampiga maswali matatu matakatifu, swali la kwanza, umejuaje kuwa matiti uliyonayo sasa baada ya kuzaa mtoto mmoja sivutiwi nayo!?? Swali la pili umejuaje kuwa ninakusaliti kwasababu ya matiti!?? Swali la tatu una uhakika gani kama ukiyasimamisha matiti sitakusaliti!??? Swali la mwisho unauhakika gani kama mimi nilikupendea matiti!???


Actually kwasasa siko nae niko nje ya nchi...!!!??
Maoni yenu wadau, Uzi tayari
 
Baby mama wangu kanianzia mbali sana, kanambia kuna mdada mtoto wa mjini amemtafuta anauza dawa za kusimamisha matiti.

Anaomba ushauri je atumie au asitumie, babymama wangu huyu yeye ana mtoto mmoja tu.

Anasema anahisi nina msaliti kisa amenyonyesha hivyo matiti yamepunguza mvuto!

Ni kweli huwaga tunapishana hapa na pale akinituhumu nina msaliti, lakini suala la usaliti sio la leo au jana ni kabla ya kuzaa nae, kipindi icho kweli nilikuwa wamoto sana!

Swali najiuliza je kwanini iwe leo hili suala la kusimamisha matiti liambatane na usaliti na sio miaka hiyo kabla ya kuzaa mind you kabla ya kuzaa tumewahi kutofautiana akinituhumu kuwa namsaliti lakini halikuletwa suala la kusimamisha matiti! WHY TODAY....!?


Nikampiga maswali matatu matakatifu, swali la kwanza, umejuaje kuwa matiti uliyonayo sasa baada ya kuzaa mtoto mmoja sivutiwi nayo!?? Swali la pili umejuaje kuwa ninakusaliti kwasababu ya matiti!?? Swali la tatu una uhakika gani kama ukiyasimamisha matiti sitakusaliti!??? Swali la mwisho unauhakika gani kama mimi nilikupendea matiti!???


Actually kwasasa siko nae niko nje ya nchi...!!!??
Maoni yenu wadau, Uzi tayari
Usitusumbue sisi!
 
Baby mama wangu kanianzia mbali sana, kanambia kuna mdada mtoto wa mjini amemtafuta anauza dawa za kusimamisha matiti.

Anaomba ushauri je atumie au asitumie, babymama wangu huyu yeye ana mtoto mmoja tu.

Anasema anahisi nina msaliti kisa amenyonyesha hivyo matiti yamepunguza mvuto!

Ni kweli huwaga tunapishana hapa na pale akinituhumu nina msaliti, lakini suala la usaliti sio la leo au jana ni kabla ya kuzaa nae, kipindi icho kweli nilikuwa wamoto sana!

Swali najiuliza je kwanini iwe leo hili suala la kusimamisha matiti liambatane na usaliti na sio miaka hiyo kabla ya kuzaa mind you kabla ya kuzaa tumewahi kutofautiana akinituhumu kuwa namsaliti lakini halikuletwa suala la kusimamisha matiti! WHY TODAY....!?


Nikampiga maswali matatu matakatifu, swali la kwanza, umejuaje kuwa matiti uliyonayo sasa baada ya kuzaa mtoto mmoja sivutiwi nayo!?? Swali la pili umejuaje kuwa ninakusaliti kwasababu ya matiti!?? Swali la tatu una uhakika gani kama ukiyasimamisha matiti sitakusaliti!??? Swali la mwisho unauhakika gani kama mimi nilikupendea matiti!???


Actually kwasasa siko nae niko nje ya nchi...!!!??
Maoni yenu wadau, Uzi tayari
Atulizane kwanza, si bado mnaendelea kuzaa? Mkimaliza ayasimamishe 😂
 
Baby mama wangu kanianzia mbali sana, kanambia kuna mdada mtoto wa mjini amemtafuta anauza dawa za kusimamisha matiti.

Anaomba ushauri je atumie au asitumie, babymama wangu huyu yeye ana mtoto mmoja tu.

Anasema anahisi nina msaliti kisa amenyonyesha hivyo matiti yamepunguza mvuto!

Ni kweli huwaga tunapishana hapa na pale akinituhumu nina msaliti, lakini suala la usaliti sio la leo au jana ni kabla ya kuzaa nae, kipindi icho kweli nilikuwa wamoto sana!

Swali najiuliza je kwanini iwe leo hili suala la kusimamisha matiti liambatane na usaliti na sio miaka hiyo kabla ya kuzaa mind you kabla ya kuzaa tumewahi kutofautiana akinituhumu kuwa namsaliti lakini halikuletwa suala la kusimamisha matiti! WHY TODAY....!?


Nikampiga maswali matatu matakatifu, swali la kwanza, umejuaje kuwa matiti uliyonayo sasa baada ya kuzaa mtoto mmoja sivutiwi nayo!?? Swali la pili umejuaje kuwa ninakusaliti kwasababu ya matiti!?? Swali la tatu una uhakika gani kama ukiyasimamisha matiti sitakusaliti!??? Swali la mwisho unauhakika gani kama mimi nilikupendea matiti!???


Actually kwasasa siko nae niko nje ya nchi...!!!??
Maoni yenu wadau, Uzi tayari


Mwambie afanye jambo lolote analohisi ni sahihi ambalo atokuja kujuta.


Means - mwambie kufanya breast boosting ajitazame zaidi and her outlook na sio wewe.

Ikiwa yupo comfortable kunywa madawa, kutumia madawa au kuchoma sindano mwambie afanye yote kwa ajili yake na sio wewe.

Ukimaliza mwambie aangalie na gharama za kufanya breast boosting Kama ataziweza na akiona anaweza mpira upo miguu upo miguuni kwake

Nikisema gharama means side effects za hayo madawa km kansa n.k
 
Mwambie afanye jambo lolote analohisi ni sahihi ambalo atokuja kujuta.


Means - mwambie kufanya breast boosting ajitazame zaidi and her outlook na sio wewe.

Ikiwa yupo comfortable kunywa madawa, kutumia madawa au kuchoma sindano mwambie afanye yote kwa ajili yake na sio wewe.

Ukimaliza mwambie aangalie na gharama za kufanya breast boosting Kama ataziweza na akiona anaweza mpira upo miguu upo miguuni kwake

Nikisema gharama means side effects za hayo madawa km kansa n.k
Chief tatizo ukishakuwa mtu wa psychology ili suala linafikirisha sana, hapa kichwa kinawaka moto.
 
MTU wa Saikolojia ni nani ?

You need to do philosophy as to make a good choice

Everything has a price .
Sasa si utoe ushauri...!? Chukua hiyo philosophy changanya na psychologia okoa ndoa ya mtu, sio unaanza kuleta masihara na ujuaji!! Mimi kuwa nje ya nchi usinifanye victim!!
Inawezekana nimekosea uhandishi rekebisha shauri, madhalani umeipata concept, sio kila mtu ni muandishi na mwana philosophy kama wewe mkuu!!
 
Naongelea kwa mtazamo hasi:
Dawa zingine zina uchawi/-neg energy. Unakuta titi linabadilika na kuwa kama goti la omba omba. Plus hizo dawa akitumia huenda zikaathiri watoto wako katika unyonyeshaji na wewe pia ukitaka kunyonya.
 
Sasa si utoe ushauri...!? Chukua hiyo philosophy changanya na psychologia okoa ndoa ya mtu, sio unaanza kuleta masihara na ujuaji!! Mimi kuwa nje ya nchi usinifanye victim!!
Inawezekana nimekosea uhandishi rekebisha shauri, madhalani umeipata concept, sio kila mtu ni muandishi na mwana philosophy kama wewe mkuu!!
This ans was for MastaKiraka
 
Back
Top Bottom