Anataka Mimi ndo nimtoe Bikra wakati ana Boyfriend wake wa miaka mingi

Anataka Mimi ndo nimtoe Bikra wakati ana Boyfriend wake wa miaka mingi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Huyu dada namfaham kwa miaka mingi sana kama 6 sasa. ni dada mzuri kwa sura na umbo ana rangi nzuri ana shughuli zake binafsi na katika shughuli zake huko ndo tulikutana na kuwa marafiki tukionesha kupendana sikuwa nataka kuwa naye kimapenzi sababu ni dada ambaye akipita sehemu wanaume wote lazima wageuke kumtizama. ana umbo kama wale watu wa kuchora zaman kwenye gazeti la sani.

Pamoja na umbo hilo na uzuri wake maskini dada wa watu hana makuu kabisa. ni decent sana na hababiki kabisa huyu dada... wanaume wenye pesa na sijui nini yeye wala.ana mind her own business.la kushangaza zaidi katika umri wake huu wa miaka 25 ni bikra. Hakuwah kunambia hilo jambo nlilokuja kuligundua siku ambayo amenialika nikaongee naye hotel na baadaye nilipomshawishi kufanya mapenzi niligundua ni bikra nilihangaika naye kidogo sababu alikuwa na woga nikamwacha last week amekuja nikawa naye tena akanambia anataka anipe hiyo nafasi ya kufanya naye nimwondoe bikra pamoja na kuwa ana boyfriend wake but anataka mimi nifanye hilo.

Binafsi nmeshachoka nazo bikra zaman nlikuwa nazipenda sana..but now days si mpenzi nazo na pia namwonea huruma sana coz she is so innocent and in love nami but mimi nasita coz najua nitakachomfanya atanipenda zaidi nami siwezi kumwoa sababu dini zetu ni tofauti na sitak kumfanya tu halafu nimwache sababu najua atanipenda sana na kuona kama tuna jambo pamoja.

Nimekuwa nikimkwepa mpaka amejua ila bado analalamika sana na kusema why namtesa nimekaa naye miaka sita yote sijamfanya kitu na sasa amejitoa mwenyewe bado namkwepa nimekaa nawaza sana hili jambo kwa huyu bint mrembo nimefanyeje.
 
kwan una № ya smu fnya uitume tukusaidie kumuambia kma unamjari!

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
Mpe ushauri kuwa bikra huwekewa wale waume zao wa maisha sio vidume. Mshauri vizuri kuwa autunze zaidi aje kumpa huyo mume mtarajiwa na hakika atamheshimu saana. Kama anaona ni nini ampe huyo huyo mchumba wake hiyo zawadi aliyoitunza hivyo kwa mda mrefu. Mkuu, hata dhamira inakusuta kuhusu huu wizi wa makinikia za watu. Naona safari hii maombi ya watz yanafanya kazi hadi huku. Unataka kumrudishia mwenyewe hiyo bikra ka yule alorudisha 40m lakini sio kwa mwenyewe. Mola atakulipa tu kwa tendo hili jema la kutokutoboa vyombo vya wengine
 
Kamtoe aridhike.....
ukimwacha atajisikia vibaya maana amejitoa kimasomaso...

na yeye ni mpuuzi ataachaje boyfriend wake adandie wanaume wa mjini kama matatu?

na wewe mwanaume una tabia mbaya umeshamwona uchi wa mtoto wa watu halafu wataka kuuacha, sasa siku hio ulitaka showtime au?
Kagonge mimba moja kwa moja..

kuhusu kupenda mbona mimi binafsi yule kijana simkumbuki vizuri[emoji23] tulibwagana kiroho safi tu baada ya mwezi mmoja
Halafu I dont Give a F.u.c.k



Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Huyu dada namfaham kwa miaka mingi sana kama 6 sasa. ni dada mzuri kwa sura na umbo ana rangi nzuri ana shughuli zake binafsi na katika shughuli zake huko ndo tulikutana na kuwa marafiki tukionesha kupendana sikuwa nataka kuwa naye kimapenzi sababu ni dada ambaye akipita sehemu wanaume wote lazima wageuke kumtizama. ana umbo kama wale watu wa kuchora zaman kwenye gazeti la sani.

Pamoja na umbo hilo na uzuri wake maskini dada wa watu hana makuu kabisa. ni decent sana na hababiki kabisa huyu dada... wanaume wenye pesa na sijui nini yeye wala.ana mind her own business.la kushangaza zaidi katika umri wake huu wa miaka 25 ni bikra. Hakuwah kunambia hilo jambo nlilokuja kuligundua siku ambayo amenialika nikaongee naye hotel na baadaye nilipomshawishi kufanya mapenzi niligundua ni bikra nilihangaika naye kidogo sababu alikuwa na woga nikamwacha last week amekuja nikawa naye tena akanambia anataka anipe hiyo nafasi ya kufanya naye nimwondoe bikra pamoja na kuwa ana boyfriend wake but anataka mimi nifanye hilo.

Binafsi nmeshachoka nazo bikra zaman nlikuwa nazipenda sana..but now days si mpenzi nazo na pia namwonea huruma sana coz she is so innocent and in love nami but mimi nasita coz najua nitakachomfanya atanipenda zaidi nami siwezi kumwoa sababu dini zetu ni tofauti na sitak kumfanya tu halafu nimwache sababu najua atanipenda sana na kuona kama tuna jambo pamoja.

Nimekuwa nikimkwepa mpaka amejua ila bado analalamika sana na kusema why namtesa nimekaa naye miaka sita yote sijamfanya kitu na sasa amejitoa mwenyewe bado namkwepa nimekaa nawaza sana hili jambo kwa huyu bint mrembo nimefanyeje.
Daaah kweli wanaume ni kiumbe kinacho potea kwa kasiii mbele ya uso wa dunia haya ni mambo ya kutafuta ushauri mkuu pole but anabikra ya wapi chief kwan kwa mujibu wa bandiko lako ana boy friend wake...

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Huyu dada namfaham kwa miaka mingi sana kama 6 sasa. ni dada mzuri kwa sura na umbo ana rangi nzuri ana shughuli zake binafsi na katika shughuli zake huko ndo tulikutana na kuwa marafiki tukionesha kupendana sikuwa nataka kuwa naye kimapenzi sababu ni dada ambaye akipita sehemu wanaume wote lazima wageuke kumtizama. ana umbo kama wale watu wa kuchora zaman kwenye gazeti la sani.

Pamoja na umbo hilo na uzuri wake maskini dada wa watu hana makuu kabisa. ni decent sana na hababiki kabisa huyu dada... wanaume wenye pesa na sijui nini yeye wala.ana mind her own business.la kushangaza zaidi katika umri wake huu wa miaka 25 ni bikra. Hakuwah kunambia hilo jambo nlilokuja kuligundua siku ambayo amenialika nikaongee naye hotel na baadaye nilipomshawishi kufanya mapenzi niligundua ni bikra nilihangaika naye kidogo sababu alikuwa na woga nikamwacha last week amekuja nikawa naye tena akanambia anataka anipe hiyo nafasi ya kufanya naye nimwondoe bikra pamoja na kuwa ana boyfriend wake but anataka mimi nifanye hilo.

Binafsi nmeshachoka nazo bikra zaman nlikuwa nazipenda sana..but now days si mpenzi nazo na pia namwonea huruma sana coz she is so innocent and in love nami but mimi nasita coz najua nitakachomfanya atanipenda zaidi nami siwezi kumwoa sababu dini zetu ni tofauti na sitak kumfanya tu halafu nimwache sababu najua atanipenda sana na kuona kama tuna jambo pamoja.

Nimekuwa nikimkwepa mpaka amejua ila bado analalamika sana na kusema why namtesa nimekaa naye miaka sita yote sijamfanya kitu na sasa amejitoa mwenyewe bado namkwepa nimekaa nawaza sana hili jambo kwa huyu bint mrembo nimefanyeje.
Daaah kweli wanaume ni kiumbe kinacho potea kwa kasiii mbele ya uso wa dunia haya ni mambo ya kutafuta ushauri mkuu pole but anabikra ya wapi chief kwan kwa mujibu wa bandiko lako ana boy friend wake...

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
unaumli gan ww

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom