MONTESQUIEU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 847
- 80
- Thread starter
-
- #21
Then kama wewe wa kike nadhani kwahitajika more explanations za mambo kama;
- muda gani mmefahamiana
- wakati mnafahamiana (ingawa umeseama ana mapesa) alikuwa na hali gani kiuchumi
- malezi yake (background)..
- tabia yake in general. Ana tabia ya kupigia watu wengine? marafiki zake? esp wa kike?
- does he cater for other services ama pia huduma nyingine (e.g. mkienda out) ni wewe unagharamia!
ehe kipi hicho tena?
Chakula, wanasema, "The way to a man's heart is through his stomach."
Ila angalia usingonoke naye ukidhani ndo utampata, utajikuta wewe ndo unazama zaidi na kugharamia hata vile usivyogharamia now!
Nkiki monowama...Ngashtuka! ndiyo maana hata hili nimeshitukia
-Muda mrerefu kama 4 years hivi
- Alikuwa wakawaida but now mh kaongeza kipato kidogo
-Anatoka familia bora but zaid kalelewa na mama baba alitangulia
- Ni mtu wa watu,Hasira kidogo, mlalamishi kiasi na fighter
- Huwa analipa mara nyingi .
Bas hebu jaribu kumueleza kwamba ungependa na wewe kupigiwa jamani..ila mh! mwanaume wa wapi huyo!??
Mimi hata demu wangu akinipigia nakata nampigia, kama sina hela kwenye simu nakopa! On very rare occassions, do i pick her calls na there has to be a valid genuine reason, not for her for me!
Huyo wako, mh! hebu muulize maana binadamu tumeumbwa tofauti...! X zake zimezidi labda..lol!???
Chakula, wanasema, "The way to a man's heart is through his stomach."
Ila angalia usingonoke naye ukidhani ndo utampata, utajikuta wewe ndo unazama zaidi na kugharamia hata vile usivyogharamia now!
MENTOR, kWANSHIKUMBURA KINDO.......................OOOH
SHIFUNDA NAMI SHIHEHE:teeth:
ehe kipi hicho tena?
Mpenzi wangu anataka kupigiwa sim kila siku yeye hapigi hata! nikiacha piga analalamika sana
Jaman haya mapenzi yamekaaje?
Mwambie ukweli bwana uzuri wa mapenzi mpigie nae akupigie
Huyo hakupendi kabisa yawezekana baada ya kupata alicho kuwa akitafuta hamu yake imekwisha stuka
-Muda mrerefu kama 4 years hivi
- Alikuwa wakawaida but now mh kaongeza kipato kidogo
-Anatoka familia bora but zaid kalelewa na mama baba alitangulia
- Ni mtu wa watu,Hasira kidogo, mlalamishi kiasi na fighter
- Huwa analipa mara nyingi .
Tatizo vocha bana tiGo kwenda Voda maumivu
Naona kanchoka huyu!
Huyo hakupendi kabisa yawezekana baada ya kupata alicho kuwa akitafuta hamu yake imekwisha stuka
Sidhani mwanzo alikuwa anakung`uta ucku na mchana!