Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,602
- 5,809
Ndg wana JF, jana nilikuwa nyumbani nimepumzka mchana, mke wa mshkaj wangu akanipgia simu tukutane baa flani kuna inshu anataka nimshauri.
Baada ya kukutana, anadai mshkaj huwa hamtoshelez, huwa anapga k1......na hajawahi tangu waoane hajawahi kumtosheleza, anadai kuwa mshkaji anazuga kuwa kaz znamchosha. ananiomba ushauri nifanyeje??.
Usiku saa tisa alinipgia simu kuwa anaumwa, muda huu kanipgaia simu tukutane tena. Anasisitiza kuwa ushaur wangu ni muhimu kwake.
Baada ya kukutana, anadai mshkaj huwa hamtoshelez, huwa anapga k1......na hajawahi tangu waoane hajawahi kumtosheleza, anadai kuwa mshkaji anazuga kuwa kaz znamchosha. ananiomba ushauri nifanyeje??.
Usiku saa tisa alinipgia simu kuwa anaumwa, muda huu kanipgaia simu tukutane tena. Anasisitiza kuwa ushaur wangu ni muhimu kwake.