Anataka nimfanyie!!

haya sasa, mlimzodoa cameroon sasa jasho linawatoka. hawa watu wapo banaa, kaa nae mbali na hakikisha haku-seduce.
lakini anahitaji msaada wa kiroho na kiakili pia:shock:
kweli hata mimi nimeamini best
 
acha mwili useme!
Nina maana kuwa mume au mke sio kwasababu una viungo vya uzazi vya kiume au kike,ni ZAIDI YA HAPO!
kweli binaadamu nizaidi ya uwajuavyo
 
Duh, inatisha sana
au kakalia ki tuthipik kikamchoma kumoyo?
Akaombewe fasta
au mwambie mkewe labda atamsaidia
au aliwahi kuwa abused utotoni

jamani mbona hatari!!!
kongosho,huyu jamaa hajawahi kuwa hivyo!
 
yah,umenena sawa
 
unajua kutunga....tumia kipaji chako uuze hadithi za udaku
 
Duh, inatisha sana
au kakalia ki tuthipik kikamchoma kumoyo?
Akaombewe fasta
au mwambie mkewe labda atamsaidia
au aliwahi kuwa abused utotoni

jamani mbona hatari!!!
nimewaza kumwambia mkewe na hata wazazi wake,ila ngoja nikusanye ushauri humu nathani nitatoka na jawabu murua,hatari kwelikweli
 
LOH! mungu atustiri na balaaa kama hilo, mbona inaelekea kama huyo bwan alijipa likizo tuu lakini ndio raha zake huo mchezo.....
amejifunua sana kwangu,amenihakikishia bado bikra,lol!
 
Pale sea cliff village, inaitwa wellness program??
kuna washauri wazuri
labda na wao kajaribu kuwaeleza
Kama mko dar anyway

nimewaza kumwambia mkewe na hata wazazi wake,ila ngoja nikusanye ushauri humu nathani nitatoka na jawabu murua,hatari kwelikweli
 
kama ulishindwa kumwambia hapo hapo,kuwa huwezi kumfanyia huo ushenzi....basi na wewe gay.
 
Mi nadhani huyu mtu hajaamua kua shoga. anakutumia signal ili umsaidie. Ingekua anataka kuanza angetafuta tu mtu wa mbali na kuanza mambo yake kimya kimya. Amekwambia wewe sababu anajua unaupendo kwake na utamsaidia, ila kaja kwa gia hiyo so that ukikubali sawa pia. Unajua watu kama hao wanakua hawataki-wanataka...
 
nakumbuka mshoga mmoja alitokaga puru,basi akaitwa bibi fulani akamsaidie huyo mbibi kapinda anachukua kioo anamuwekea nyuma halafu anamuambia ageuke huo ukelele anaotoa we acha tu maana!!!
 
kama ulishindwa kumwambia hapo hapo,kuwa huwezi kumfanyia huo ushenzi....basi na wewe gay.
sijasema mimi.........
kuna mtu kamwambia amupe asimuruke........yeye anakuwa mkali, wakati ameomba ushauri, kwani ushauri ni lazima uambiwe usifanye??

kama kamsikiliza na hajamwambia kitu, na kwa maelezo yake ''kajifunua sana kwangu, kasema bado ni bikra'' .........Amupe bana, asimuruke.
 
sijaelewa uhusiano wa kioo na kelele

nakumbuka mshoga mmoja alitokaga puru,basi akaitwa bibi fulani akamsaidie huyo mbibi kapinda anachukua kioo anamuwekea nyuma halafu anamuambia ageuke huo ukelele anaotoa we acha tu maana!!!
 
sijaelewa uhusiano wa kioo na kelele
unajua puru likitoka nje unaona nini...ndicho kilichokuwa kinampigisha kelele lakini shangaa amelazwa muhimbili kama mwezi hivi alipotoka akarudia!!!
 
mwambie madhara ya ushoga,halafu achana naye,akiamua kumtafuta wa kumkoboa ni juu yake mwenyewe,
abebe mwenyewe mzigo wake
 
nimeshusha pumzi ndefu sana...............tusimnage jamanai huyo rafikiye......tumwombee na kumsaidia!
 
Dah so sad!!Kaa nae chini umweleze madhara ya huo mchezo na pia mpeleke kwa mwanasaikolojia amsaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…