neyl
Senior Member
- Nov 23, 2011
- 127
- 19
habari,niliachwa na mpnz wangu nikajitahid kummbembeleza for good 5months nilpoona pozi zimezid nikaenda kwa wazazi wake maana tulifunga ndoa ya kimila mwisho wa siku familia yake ikanipa nyumba na pesa kidogo kwa ajili ya kutunza watoto maana nimezaa nae mapacha watatu basi nikaendelea na maisha na wanangu wiki kadhaa zilizopita nilikutana na my x town akastuka kuniona toka hapo amekuwa akinisumbua nirudshe nyumba na hela za wazaz wake et sikumpenda ndio maana nimependeza after ye kuniacha