Anataka penzi la kisela

Anataka penzi la kisela

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Ebana wandugu,

Kuna dada nimemtongoza akaniambia ni sawa amekubali lakini hataki mapenzi shatashata. Anasema kila mtu na mambo yake tuwepo kama hatupo.

Yaani kwa kifupi anasema hataki kupendwa nile mzigo tu basi.

We ungefanyaje mdau.
 
Ebana wandugu,

Kuna dada nimemtongoza akaniambia ni sawa amekubali lakini hataki mapenzi shatashata. Anasema kila mtu na mambo yake tuwepo kama hatupo.

Yaani kwa kifupi anasema hataki kupendwa nile mzigo tu basi.

We ungefanyaje mdau.
Huyo ni tomboy wa kisilisili mkuu
 
Ebana wandugu,

Kuna dada nimemtongoza akaniambia ni sawa amekubali lakini hataki mapenzi shatashata. Anasema kila mtu na mambo yake tuwepo kama hatupo.

Yaani kwa kifupi anasema hataki kupendwa nile mzigo tu basi.

We ungefanyaje mdau.
Yaani huyo ndio anaenifaa mimi maana huko kupenda nishasahau zamani sana sijui mapenzi ni kitu gani nakaribia kufanana na MB DOG hahahaaa
 
Ebana wandugu,

Kuna dada nimemtongoza akaniambia ni sawa amekubali lakini hataki mapenzi shatashata. Anasema kila mtu na mambo yake tuwepo kama hatupo.

Yaani kwa kifupi anasema hataki kupendwa nile mzigo tu basi.

We ungefanyaje mdau.
Aisee kwenye miti hamna wajenzi. Sasa hiyo sii ndio full burudani mwanawane
 
Back
Top Bottom